katika kuendeleza libeneke jipya la taswirazzz natundika hii na kuomba maoni huku nikichokoza 'walevi' wenzangu wa masnepu kwamba leteni vituzzzz tujadili. hapa ni kendwa beach, zenji

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. mi si mtaalamu wa masnepu, hivyo sina anything constructive to say... zaidi ya kusema... hii nimeikubali mkuu. Nimekulia pwani na hii imenikuna

    ReplyDelete
  2. preety nice...kendwa rocks kwa kilupiiiiii...bwana hapo mimi member sasa niko ughaibuni nikurid utaniona hapo..kwnye board members hunikosi...its not the beach hapo kendwa ni hilo fukwe mkuuu...na cocktails zinachangia...

    ReplyDelete
  3. ngojea nimuige Michuzi...
    Hapa ulikuwa unataka kupiga nini hasa? Ni hicho kivuli cha mnazi au mazingira mazima kwa ujumla?
    kama ulikuwa unataka kutoa kivuli cha mnazi ungekata hizo nyumbas kwa nyuma. Maana zinaiibia picha hapo.

    ReplyDelete
  4. Balozi michuzi mbona Kimya hapa?Au unaipigia mahesabu makali ya kuikosoa?Ni 'ground oblique'nzuri sana.

    ReplyDelete
  5. Nashukuru sana tu kwa moyo wako wa kutusaidia wapenda kupiga picha....ningeliomba basi utuwekee topic ya hata armature photography 101 basi kila siku

    mimi nina kamera mbili well tatu ukichanganya na camera ya simu ....lol.....nikon d40 ambayo nimepewa kwenye birthday na wala sijaitumia b'se sijui pa kuanzia and pia ninayo yangu ninayotumia often Kodak Easyshare Z740 lakini homesty hizo sijui shurter reduce, ISO sijawahi kuzirumia kwa vile sielewi what to do or when to use with those features.

    Kabla ya kutoa comments zetu ningeliomba utwambie ulichukua na features au setting gani katika camera yako na pia watu wanaotuma ni bora wangesema halo kama watakumbuka walivyochukua picha zao ili uweze kuwasaidia kuwa ni nini wangetumia kuweza kupata picha nzuri zaidi.

    But all in all thank you so much for everything

    ReplyDelete
  6. picha ni nzuri sana.... ninaombi la zihada... kama unaweza ukitoa picha tujulishe ni camera gani umetumia na lensi kiasi gani!

    ReplyDelete
  7. Kivuli kikubwa mno ambapo haileti taswira nzuri ya unachotaka kuonyesha.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...