Uchaguzi wa viongozi wa jumuiya ya watanzania waishio Manchester na vitongoji vyake.
Watanzania wote wanaoishi Manchester (UK) na vitongoji vyake mnaombwa kuhudhuria kikao cha uchaguzi wa viongozi wa jumuia ya watanzania.
Kufika kwenu ndio ufanisi wa shughuli hii muhimu kwa umoja na mshikamano wetu.
Fanya hima kuhudhuria kikao hiki kitakacho ambatana na sherehe za uzinduzi zitakazoendelea mpaka usiku wa manane.
Mahali: Our lady's hall, Raby Street, Moss side, Manchester,M16 7JQ
Muda: kuanzia saa 12 Jioni (Tafadhali tuzingatie muda)
Uchaguzi: Utaanza saa 1:00 (moja) jioni mpaka saa tatu (3) usiku, na kwa wale watakaopenda kugombea uongozi wazingatie sana muda huo.
Sherehe za uzinduzi na disco la bure mpaka liamba.
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliania na:
1. Dr Ngoma. M.C (Mwenyekiti wa muda): 07876712324
2. Herman Livingstone (Katibu wa Muda): 07899806500
3. Humprey Mhada: 07824397468
4. Daudi Mwakimwagile: 07534499405
5. Alphonce Machunda: 07917860621


Mithupu ombi chonde paste matokeo Tarime na picha za mnuso uliohudhuria leo tafadhali
ReplyDeletePamoja na jitihada nzuri za kuwakutanisha Watanzania ugenini, hili tangazo lina kasoro! halisemi Tarehe gani! zaidi ya kuzungumzia muda na mahala pa kukutania, na kueleza kuwa unywaji na maakuli ni mpaka usiku wa manane!!
ReplyDeleteItakuwa Tarehe 18/10/08
ReplyDeleteHumphrey Mhada(Manchester)
Hello
ReplyDeleteHumphrey mambo niaje naomba email ya Happy
Duh huko MOSS SIDE inabidi uvae bullet proof... mi naangalia tu
ReplyDeleteHii iimekaa sawa "JUMUIYA YA WATANZANIA" na sio CCM Reading
ReplyDeleteHappy kaomba yako kwanza ama mobile phone yako.
ReplyDeleteMpe happy nadhihirwa@yahoo.com
ReplyDeleteujumbe umefika
ReplyDelete