Jamani eeeeeeh....
Hivi Chura mnamjua vizuri? Hivi chura ukimwangalia mnamwonaje? Amekaa, amechuchumaa, kainama, kasimama au?
Mdau Rhxoqsa
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mdau uliyeuliza swali la chura ni kwamba vyote ulivyotaja ndivyo anavyo. Ni sawa na ukakuta wameweka TANGAZO likisema hakuna kukaa hapa. Lakini ukienda na kusimama au kulala hapo ni rukhsa kwani wamesema hakuna kukaa.
ReplyDeleteYote ulosema yanalandana lakini kwa hakika Chura huchutama.. (dRU)
ReplyDeleteWEWE HAPO ULIPO, UNAKAA,UNASIMAMA,UNACHUTAMA NA KUCHUCHUMAA? JIBU LAKO NDO HILO HILO!
ReplyDeleteUnashangaa nini Mkuu kuhusu chura? Ile ndiyo miondoko yake au Mapozi yake aaaah! au unataka kutuchekesha tehetehe hii kali ya mwaka tehetehe.
ReplyDeletena tutasemaje kuhusu viumbe wengine kama kinyonga nk?
chura kakaa bwana we huoni matako yapo chini
ReplyDeletemheshimiwa hapo mi naona jibu ni au
ReplyDeletesina mbavu,aisee stress zoooote zimepungua leo duh!!afadhali
ReplyDelete