kaka Michuzi,
tunakushukuru kwa kazi uifanyao ya kutuarifu mambo ya huku nyumbani.mimi ni mwanafunzi huku Malaysia.nimekuwa nikimtafuta dada Lilian Simon Shija kwa miaka mitatu bila mafanikio.nilimaliza naye form 4 mwaka 2005 kule Happyskilful,Segerea.
yoyote anayeweza kumfahamu aliposasa anitumie info zake kwenye email yangu: marcelinambogo@yahoo.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. POLE SANA NDUGU YANGU- HUYO DADA TUMEMZIKA JUZI TU. MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI

    ReplyDelete
  2. hivi kama hamjui,au hamna information ni bora kutojibu kabisa kuliko kusema uongo

    ReplyDelete
  3. annon hapo juu, you are just out of order.. you are not funny...

    ReplyDelete
  4. Yeah hata mimi nimeshaona kuna mtu kila post ya watu wanaotafuta wakwao anasema tumeshamzika. Nimejiuliza ni kweli hawa watu woooote wanaotokea kutafutwa humu kweny blog wamefariki au ?????

    nahisi huyu mtu ana akili za kitoto au hana life kwa hiyo kakalia kujibu kutwa kucha kila post zinazowekwa huku vinavyomtuma kichwani kwake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...