kaka Michuzi,
tunakushukuru kwa kazi uifanyao ya kutuarifu mambo ya huku nyumbani.mimi ni mwanafunzi huku Malaysia.nimekuwa nikimtafuta dada Lilian Simon Shija kwa miaka mitatu bila mafanikio.nilimaliza naye form 4 mwaka 2005 kule Happyskilful,Segerea.
yoyote anayeweza kumfahamu aliposasa anitumie info zake kwenye email yangu: marcelinambogo@yahoo.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...