kaka Michuzi,
tunakushukuru kwa kazi uifanyao ya kutuarifu mambo ya huku nyumbani.mimi ni mwanafunzi huku Malaysia.nimekuwa nikimtafuta dada Lilian Simon Shija kwa miaka mitatu bila mafanikio.nilimaliza naye form 4 mwaka 2005 kule Happyskilful,Segerea.
yoyote anayeweza kumfahamu aliposasa anitumie info zake kwenye email yangu: marcelinambogo@yahoo.com
yupo dar
ReplyDelete