Home
Unlabelled
bank of india na maktaba square
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kaka hebu tupe habari kamilikamili basi. Hii maktaba squire unamaanisha ni pale maktaba kuu ya taifa (Maktaba complex) ama wapi. Maana najaribu kuvuta kumbukumbu zangu nimeshindwa kuelewa hiyo benki imejengwa maeneo gani. Hata hivyo tunawashukuru kwa kutuongezea ajira Tanzania
ReplyDeleteMdau
Cardiff
Huo ndio upuuzi, unajenga jengo kubwa kama hilo na hujui wateja watapaki magari sehemu gani?
ReplyDeleteUlaya kama linajengwa jumba kubwa na linataka kuhudumia wateja wengi basi wanachofikiria kwanza ni wateja watapaki magari wapi.
Kwa maana hio jengo kubwa linaanzia na parking ambayo imechimbwa chini ndio liendelee kwenda juu.
Mimi nimefurahishwa na huyo mama anayekatiza,mashallah! kajifunika vizuri khanga au sijui vitenge viko very colorful mashallaha ,mwanamke kujistili.
ReplyDeleteBank of india??
ReplyDeleteWatu wengine bwana, yaani picha nzima umeona mwanamke tu?
ReplyDeleteHaya bwana.