Katika kuadhimisha miaka miwili ya mafanikio ya gazeti la serikali la kiswahili la HabariLeo, wafanyakazi 10 wa Tanzania Standard Newspapers (TSN) wachapishaji wa magazeti ya Daily News News na Habari Leo wikiendi hii wamepanda mlima Kilimanjaro na kuweka bendera za magazeti hayo katika kilele cha Bara la Afrika. Pichani ni wafanyakazi Deo Sagamiko na InooMfumu wakiwakilisha bendera hizo


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Jamani barafu hakuna!!! tufanyaje ili kuivuta tena!!!

    ReplyDelete
  2. Mdau, ndo inabidi UKWANGUE kwenye frezer yako ndo upelekee...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...