nimekutana na atiko hii ipo kule taifaletu.blogspot.com na imezua bonge la mjadala. mie kiinglishi iz noti richebo vinginevyo ningeitafsiri. wadau wenye kuujua ung'eng'e tusaidieni kula sahani moja na hawa watani wetu wa jadi.
By GITAU WARIGI
Posted Saturday,
November 29 2008 at 15:12
It is time members of the East African Community called Tanzania's bluff. Our southern neighbour has become a veritable impediment to integration and progress in the region.
Everytime a useful proposal is put forward, it throws a spanner in the works. Kenya, Uganda and the two candidate-members of the Community, Rwanda and Burundi, should simply shrug Tanzania off and forge ahead.
The latest Tanzanian objection is the proposal to allow the use of identity cards when crossing borders instead of the requirement for passports, which relatively few ordinary East Africans have anyway.
The effect of the Tanzanian veto is to limit the movement of people about, who in most cases are traders going back and forth. It is difficult to see the logic of Dar es Salaam's objection.At this rate, the dream of federation by 2013 will remain dead as long as Tanzania is allowed to dictate terms.Tanzania has for many years been consumed by a large deceit of thinking it is more important than it actually is.
Basically, it still lives in a time warp where it is forever harping on its old credentials of being a linchpin of the liberation struggles of southern Africa. WITHOUT DOUBT THIS WAS A historically important role. But the world of today is being shaped not by re-living the progressive glories of the 60s but by learning to adapt to fast-changing economic trends of today.
Tanzania is dirt poor, its economy a fraction of Kenya's. Further, it lacks the dynamism and skills to drive its economy forward at the pace of its neighbours. Even tiny Rwanda has a better capacity than can be said of Tanzania.The latter's prickly sense of wanting to be alone is sadly misguided.
Regional prosperity depends on the exchange of skills that free movement of peoples and investment across borders allows. It is myopic to think Kenyans who venture into Tanzania are only going to take away Tanzanian jobs and opportunities. They are bringing skills, money and enterprise which they cross-pollinate in Tanzania.
It is also wrong to fear that Kenya's more developed economy is a threat to Tanzania's and thus should be kept at bay. That argument flies in the face of all known precedents. Mexico knows the immense benefits it reaps from the North America Free Trade Association (NAFTA) even though its economy can nowhere be compared with the United States' or Canada's.
Likewise countries like Slovakia or Croatia would not have been clamouring to join the European Union to be in the company of more advanced members like France and Germany.
But the cost-benefit ratio in such situations favours the poorer members.Of the leaders of the East Africa Community, President Yoweri Museveni is by far the most far-sighted on this question of integration, He is surely right in urging those countries for the idea to go ahead on their own and cast off the laggards.One country cannot and should not be allowed to hold the process of integration hostage.
Another leader who is emerging as a real visionary is Rwanda's President, Mr Paul Kagame. He has already okayed the abolition of work permits for Kenyan professionals going to work there. Kenya too, has agreed on a similar waiver for Rwandan job-seekers.
Kenyans who have been in Tanzania know the great difficulties of getting a local work permit.Working without one in that country is a highly perilous game, as the infamous deportations of Kenyans from there that were carried with utmost malice routinely attest.
Tanzania greatly likes to be recognised for her 'internationalist' policies, with her leaders spending more time strutting the world than they do in their own country, though the facts show they are quite parochial.
TANZANIA'S GENERALLY CONFUSED posture comes out in its obsession to belong to the Southern African Development Community (SADC).There is probably less of an economic rationale for this fling than there is a political one.
Nothing gladdens Tanzania's heart than to be seen to be close to South Africa.But things have surely changed since the days of the liberation struggle. Other than a broadly progressive political outlook, the two countries have very little in common.
Hawa jamaa kuna kitu wanataka kutoka kwenye nchi yetu na sisi tumewashitukia...sisi ni wabongo na usanii tunaujua sana!na hii jumuia tumeishitukia hatuitaki kwa sasa...labda hapo baadaye!! hakuna mbongo anayetaka Hiyo takataka iliyojaa usanii!! kama kuna mtu anabisha na asome comments zote zitakazotolewa hapa kuhusu hii mada...tunamshukuru sana mdau kwa hiyo atiko.
ReplyDeleteHaroo.....kama mtu hamaind ushosti usiokuwa na manufaa iweje ukomaliwe na kukashifiwaaa!!...basi kuna kitu kinachotafutwa huku kwetu..sasa hizi kashfa zinatokea wapi......na JK tafadhali sana usije tuudhi kwenye hii ishu......ngoja kwanza tuendelee kudengua tuwaone hao wenye uchumi unaokuwa, tena ni Kenya....MBONA WAMEKOMAA SANA JAMANI?
ReplyDeleteHUYU JAMAA BILA SHAKA NI MKENYA AMBAYE ANAJUA SANA KIINGEREZA LAKINI HANA KAZI HIVYO ANAONA JUMUIA INACHELEWA SANA AJE BONGO KUTAFUTA KAZI, HAKUNA KUJIUNGA NAO KAMA HAWANA KITU WANACHO KIHITAJI BONGO SI WAENDELEE WAO NA KIJUMUIA CHAO. INAKELA SANA MIMI NI MMOJA WA WATU WANAO FUATILIA TAKWIMU ZA AJIRA KATIKA MAHOTELI TUU, KWA UFUPI KATIKA MAHOTELI MAKUBWA KARIBU YOTE BONGO MAMENEJA KARIBU WOOTE WANATOKA NJE YA NCHI HASA KENYA KWASABABU YA KILE WAAJIRI KUAMINI KWAMBA MTU ALIYE FLUENT KATIKA KIINGEREZA NDO COMPETENT. WABONGO TUKOMAE HAKUNA KUJIANGA NAO MPAKA TUTAKAPOKUWA TAYARI KAMA VIPI WAENDELEE NA KIJUMUIA CHAO AU NDO TUSEME WANATUONEA HURUMA KWAMBA WATATUACHA NYUMA? WASITUFANYE SISI VILAZA TUSIOJUA KUFIKIRI. ALAFU HUYU JAMAA KANIKERA ANA BAHATI SIMFAHAMU HAWEZI KUSEMA UCHUMI WA TZ NI FRACTION TU YA ULE WA KENYA HILO NI TUSI KWASABABU SISI UCHUMI WETU NA SISI NI MKUBWA UKILINGANISHA NA CHUMI ZINGINE LAKINI HATUWEZI TUKAITA NI VI FRACTION. EEE! BWANA EE! MIMI KAMA VIPI NAFIKIRIA KUMTAFUTA.
ReplyDeleteWabongo kama mnavyojiita mmejaa usanii na ndio maana kila kitu mnaona usanii. Mimi ni Mtanzania hasa na najua faida za kuungana ni kubwa ndio maana hata Nyerere alikuwa tayari kuchelewesha Uhuru wa Tanganyika ili tuwe nchi moja. Hakuna mkenya ambayae anaweza kuchukua ajira yangu kwa sababu najua mimi ni mchapa kazi. Uvivu wa wabongo ndio unaojenga uoga wao!!! Uchoyo wa viongozi pia ni sababu ndio maana tunataka hata Pemba na Unguja ziwe nchi ili watu watawale.
ReplyDeleteKabisa Serikali ya Tanzania kama inajali wananchi wake basi acha Ufisadi tunaendesha ndani ya nchi kutupeleka katika hii jumuiya kutakuni ni UFISADI na KOSA la JINAI la Maisha ya mpak vizazi vyetu mimi sioni sababu ya kuwa na Federation ya East Africa, ikiwa Tanganyika na Zanzibar tuu hapa na sisi ndio ndugu wa toka nitoke sasa hivi kuna matatizo huo Muungano ukisalia basi tushukuru Mungu, sasa tunataka Federation ya East Afrika ya nini ? HEbu kwanza angalieni hizi nchi zote tunazotaka kuungana nao Culture zao ni tofauti na sisi . Watanzania hata kama watuite Maskini tuna Upendo hatuna Makabila wala Udini . Sasa Angalia hii East Africa ukianzia huko Uganda na KEnya walivyojigawa lety alone hiyo Rwanda na Burundi tumeona Matokeo yake. Mmeona juzi Kenya walivyochinjana kwa kisa cha Uongozi na jinsi Uganda inavyoendelea kupigana na Congo vita vya Misituni. Sasa hebu niambie hapo tutakapokuwa na Federation ikatokea hawa wenzetu hawataki kiongozi alietokea upande mmoja ama kutokana na kabila lake au Dini yake au Nchi aliyotoka tutafika wapi ?? Na pili mimesoma taifa letu.blog comment kwenye hii mada sema sikuchangia nilijua tuu kak Michuzi ataileta bloguni kwetu, hebu kasomeni kuhusu uhaba wa land unaowakabili Uganda na Kenya muone wao wanajitia kuona mbali ni kwa nini. Kam Tanzania inawalostisha basi waungane wao sisi Watuache Pembeni hatuna hata wasiwasi. Kwanza tangu huo ukimbizi tuu na hizo East A passport zimeanza umeona jinsi crime ilivyokithiri Tanzania, Armed robbers asilimia 95 wote ni wa nchi za jirani ndio wanakuja kufanya wizi wa kikatili nchini kwetu, hili Serikali inaliangalia cvipi lakini ? Jamani hatuutaki huo Umoja tukae na Umaskini wetu na Ujinga wetu kama wanavyosema hao wakosaji !!!
ReplyDeletehataki huo muungano sie tunao wakwetu unatushinda Unguja na Tanganyika leo tuongeze mazagazaga ya wakenya na waganda no way!
ReplyDeleteMBALI NA KWAMBA SITAKI TUKIMBILIE MUUNGANO. HUYU JAMAA KUNA VITU VINGINE KATUAMBIA UKWELI.WAKATI TUNA MATATIZO YA KIUCHUMI NA SIASA NYUMBANI, VIONGOZI WETU WANAONEKANA WANAPENDA KUSAFIRI SAFIRI NA KUELEKEZA AKILI ZAO KWENYE MAMBO YAKIMATAIFA,NA TUKISHAPEWA SIFA ZA UONGO NA IMF, WORLD BANK,TAIFA LOLOTE LA ULAYA, AU NA BALOZI YOYOTE WA ULAYA BASI VIONGOZI WANAONA WANACHOFANYA KIMEHALALISHWA. HII YOTE NIKUKOSA KUONA KWAMBA WENZETU NCHI ZAO ZIMEJENGWA NA WAFANYABIASHARA NA SERIKALI ZAO ZIKO KWA MASILAHI YA WAFANYABISHARA WA NCHI ZAO NA SIO KUTENDA HAKI.
ReplyDeleteTena huyu mpuuzi asitufananishe sisi na MExico mjinga huyu, kwa taarifa yake Tz sasa hivi ndio China ya EA kwa jinsi economy inavyokuwa fast mpaka wenywe wanaanza kuhaha. Hatukatai ndio nchi yetu economy is still behind compared to KEnya na Uganda but also they are forgetting au dismissing the fact kwamba sasa hivi in East Africa Tanzania is seen as the Investment heaven compared to the other countries, hili linaiweka Bongo katika nafasi nzuri ya kuwa na fastest growing econony in the region, kitu kinachotulet down sana na kuchafua jina letu kwa investors wa ndani na nje ni Ufisadi uliokithiri. sasa kama Serikali imerealise hili na inadeal na hawa watu wawe Mawaziri, wafanyabiashara au mtu yeyote ili kubring transparency katika biashara na Uchumi wa nchi then in ten yrs time hao Kenya na Uganda and the lot of then watatuamkia shikamoo kubwa tuu. CHa msingi ni kwamba wananchi wa kawaida bado wana maisha ya tabu sana with no access to vitu vya muhimu kam elimu na afya na maji safi, uchumi ukue na hii pesa badala ya kushikiliwa na mafisadi wachache ianze kurudi kwa wananchi through providing their basic needs. Na vilevile tutakapo ingia hiyo EA community sijui badala ya kuconcentrate na kuinua maisha ya wananchi wetu kwanza tutaangalia Federation as a whole na hili litatuacha TZ nyuma kwa sababu ni kwa kweli sisi tuko nyuma kielimu compared to hawa majirani zetu wote so really kuingia kwenye hii community sasa hivi is a BAD BAD IDEA WE ARE NOT READY, wacha kwanza tumature kivyetu vyetu wao waendelee na COmmunity yao. Wewe angalia statistics tanfu hii mipaka ya biashara imefunguliwa idadi ya Watanzania iliyovuka kwenda Kenya au Uganda ni ndogo sana compared to na idadi ya Wakenya au Warundi na Wanyarwanda waliokuja Tanzania. Hii moja inaonyesha kwamba Watanzania bado hatujiamini na hatuko mature kibiashara na mbili vilevile inaonyesha kuwa nchi yetu contrary na wao wanavyoikandia ina opportunities nyingi kuliko huko kwao ndio mana wao wamejazana kwetu na sisi hatuendi kwao so they are the desperate ones. Jamani Watanzania chonde chonde JK usikubali kuburutwa katika hili mana hii ni legacy ya vizazi vyetu vya mbele.Kama Nyerere yalimshinda wewe ndio utayaweza ? Na mkumbuke pia people never change na jinsi hizi nchi zooote kasoro Tanzania zilivyo jaa Udini na Ukabila ana kuuana wenyewe kwa wenyewe na kila siku mmmmhhh , My thoughts are we are better off alone ............!
ReplyDeleteTunatakiwa turukie tu kwa kuwa wao wamerukia? Hivi haiwezekani waendelee (manake tusionekane kikwazo kama hiyo atiko inavyojinadi) halafu sisi tukajiunge nao baadaye if the need arise? Is it a MUST that we all be the founder members?
ReplyDeleteFree movement my foot, hata UK wanazuia economic immigration kulinda ajira za watu wao wamegomea kutumia sarafu ya Euro kwa manufaa ya nchi yao! Wakae na huo uchumi wao na human resource yao, na sisi tukae na umaskini wetu kama alivyotubrand hapo juu. Sasa wao kinawauma nini kama sie masikini, na kwetu wanafuata nini huku kunakonuka umaskini? Kwani tumemuomba mtu kutoka Kenya aje atunasue kutoka na umathare wetu?? Jamani hamshangai mbona hiyo article imejaa dalili ya frustrations? Kama vile kuna kitu wanaona wanachelewa kupata? Wajiunge wao peke yao na hao Uganda na Rwanda na Burundi waunde jumuiya yao wakitaka waingize na Somalia pia. Sie tutajiunga na wajinga na masikini wenzetu wa Kongo na Msumbiji na Zambia! Khaa EA, EA, hatuoni faida yake kwa sasa, wangoje kwanza tumalize madini yoote, gesi na mafuta kisha ndio tuungane! Lakini sio sasa wakati hata hatujapanga mikakati ya kulinda rasilimali zetu.
ReplyDeleteNa dharau hiyo kubwa waliyonayo hata ukiingia kwenye youtube unakutana nayo, akiwa mwanamuziki katoa video au wimbo mzuri utaona wanavyong'ang'ania kumbadili utaifa kuwa huyo wa Kenya huyu ni mkenya tu hawezi kuwa mtz! Watz hawawezi tengeneza video nzuri kama hii! Au MTz hawezi kuwa mzuri kama hivi!lol!
Kama ni umasikini kila mahali upo, kama ni opportunities hapa kwetu ziko kibao na wameshaziona wakati waTZ wenyewe wamelala usingizi wanasubiri serikali iwafanyie kila kitu! Amkeni watanzania mtoke kwenye umasikini mnaona nafasi hizo wenzenu wanazililia kuingia katika nchi hii kuja kutajirika!
HUO MUNGANO ULIKUWEKO NA HAWA JAMAA NDIO WALIO UVUNJA 1977,SABAU ZILEZILE ZILIZO WAFANYA KUVUNJA E.A.C NDIZO ZINATUFANYA WATANZANIA KUKATAA MUNGANO HUO TENA.WANAWEZA KUENDELEA NA KUTUACHIA NCHI YETU HAWA JAMAA WAMETUNYAYASA SANA YOTE ALIOANDIKA WATANZANIA TUMEKUTANA NAYO NA ZAIDI YA HAYO,HUSUSANI KIPINDI KILE CHA MIEZI 18,IKUMBUKWE KWAMBA WAKATI SISI TUNA MWAGA DAMU YETU KWA UKOMBOZI WA NDUGU ZETU WA KUSINI KENYA ILIKUA KIBARAKA NAMBA ONE KWA UK NA MAREKANI,NI BORA TUNGANE NA NDUGU ZETU WA KUSINI,KENYA SI WAUNGANE NA NDUGU ZAO WASOMALIA MPAKA SISI KWANI LAZIMA,NIA KUBWA KUJA KWETU NI KUPORA ARDHI KISHA VIZAZI VYETU VIJAVYO VIMWAGE DAMU KWA URITHI WAO.KWANZA NASHANGAA KUSIKIA SIKU HIZI AWA JAMAA WANAOMBA KAZI KWETU.HATUTAKI MUNGANO WOWOTE NA KEYA FULLSTOP!!
ReplyDeleteHii artice imeandikwa na Ndg Gitau Warigi kwenye Sunday Nation ya juzi tar 30/Nov/2008 ikiwa na kichwa Tanzania is Standing in the way of faster EA integration na email yake ni gwarigi@nation.co.ke. Inaelekea huyu mwandishi ni mfanyakazi au mwajiriwa wa Nation Media.
ReplyDeleteNiache porojo, kwa mtizamo wangu mimi naona alichoandika ni sawa tu kwani kwa kusema ukweli kama viongozi wetu wangesimamia rasilimali zetu kwa ufasaha na uaminifu basi nchi yetu ingekua na maendeleo na ubabe wa Kiuchumi ambao ungesababisha wanaochonga wakae kimya. Ila sasa ukiangalia vingi ambavyo amevieleza mwandishi huyu ni vya ukweli mtupu ambao kama walioko madarakani hawatabadilika basi tukubali kutukanwa milele kwasababu itakua ni uzembe wetu uliosababisha haya. Tujifunze toka Singapore nchi isiyo na rasilimali yoyote ukiacha Raslimali Watu pekee na kule kuwa katika mahali panapofaa kibiashara (Strategic location). Singapore wameendelea kwasababu watu wake pamoja na viongozi ni wazalendo ila huku kwetu naomba nijulishwe nani ni mzalendo halisi wa nchi ya Tanzania???? kama yupo basi apewe uongozi ili matukano ya Wakenya
Hawa jamaa wangekuwa serious na EAC wasingekuwa wao ndo wanaongoza kuwa na kesi katika EAC courts wakishitakiwa ku-violate free movement of goods e.g. Musoma Diary case against Brookside Diary hiko kiwanda ni cha kina Kenyatta na Uhuru Kenyatta ni 2nd vice president amenunua kiwanda Arusha akachomoa mashine na kukifunga then Musoma Diary wakitaka kuuza maziwa yao Nairobi wanakatazwa na KRA au wanapewa mlolongo mrefu ikiwepo kupeleka maziwa yao Kenya Bureau of Standard (KBS) wakati EAC modalities zinasema member state hahitajiwi kupima mara mbili bidhaa zake kama zishapimwa na country Bureau of standard ! Hawa watu ni wanafki na matako die hards Tanzaninans lets not buying Brookside products !!!!
ReplyDeleteJK CHONDECHONDE NAJUA KUNA WATU WAKO WANAKUSOMEA HIZO COMMENT , HUU NI MZIGOP MKUBWA UMEACHIWA NA WALIOKUTANGULIA NA HATMA YAKE KUMBUKA KWAMBA UAMUI UTAKAO CHUKUA HAPO UTAAFFECT MPAKA VIZAZI VYETU VYA BAADAE. HII NCHI TUMEKUACHIA DHAMANA NA TUNAOMBA USIUZE NCHI YETU. ARDHI NI YA TANZANIA< NA TUNAOMBA IENDELEE KUWA HIVYO MILELE NA MILELE. HUU MUUNGANO HAUNA MAANA NA SISI KWANZA WAKENYA WANATUCGHUKIA KAM SISI TUNAVYOWACHUKIA , NA HAO WAGANDA TUMEWAKOMBOA KWA IDDI AMINI NDULI MPAK LEO BADO TUNALIPA MADENI NA KWA KIASI KIKUBWA WAO NDIO WAMETUONGEZEA UMASKINI WA NCHI SASA SHUKURANI ZAO ZIKO WAPI ?? HATA KISWAHILI TUU HAWATAKI KUKISIKIA SO HAWA WATU TUNAUNGAN NAO NINI ?? KWA KWELI TUKAE HUKO SADC ANGALAU KUNA MANUFAA WANYASA WANAKUJA BONGO KUTUFANYIA KAZI !
ReplyDeleteNaomba kuuliza KEnya wanan nini zaidi ya MAsai Mara ? LIst of Tanzania Natural resorces , Tanznaite, Almasi , Dhahabu, Mafuta et.c ingawa vyote tunaviuza kwa Ufisadi ambao kwa kweli kama Viongozi hawatabadilika tutatukanwa mpak mwisho , KWa ufupi Jumuiya HAITUFAI kwani sisi wenywe na maliasili zetu na utajiri wote wa nchi tulionao hatuko tayari kielimu na kibiashara hivyo wametuzidi kete na kuungan nao watakula wao kila siku.
ReplyDeletesheitwani mkubwa
ReplyDeletewal'hahi hii kashfa
na wanatutaka aswaaa
Hebu nendeni mka-google wikipedipea mkaandike east africa community itawapa Historia fupi ya hili jambo na kwa nini hawa Jamaa wako Desperate kuungana na sisi. Ni kwamba hakuna Land huko KEnya Imeisha kabisaaaaaaaaaa so they want OUR LAND full stop. Hii ni sawa na Hadithi ya Muisraeli na Mpalestina , kwani kiini cha ugomvi wao ni kuwa Muisraei kaklia ardhi yoote yenye maji kamuachia Mpalestina ile kavu !!Na tukiungana na hawa jamaaa definately misitu yoote itaisha mana watawekeza na kuhamishia makazi na vizazi vyetu vya baadae vitasuffer . HAKUNA MUUNGANO , NOW OR NEVER leave us aloneeee
ReplyDeleteYaani mimi hawa wakenya nina bifu nao sana hawa kwa dharau zao watZ !! mana hawajielewi masettler wamewatawala hata lugha wanayoongea haielweki akhera hawapo duniani tunawatafuta !! mara kiswahili mara english mpak wanakiharibu kiswahili chetu, na watanzania siku hizi ndio kuiga hicho kiswanglish huu ni ushamba hao wenzetu wamechanganyikiwa na maisha. Landa yao yoote imekaliwa na Mashamba ya wazungu si waige mfano wa mugabe ? wasituletee hizoi hapa Htutaki Muungano na WASHINDWE KWA NGUVU ZA TANZANIA WASHINDWE !
ReplyDeleteFACTS-
ReplyDelete-TANZANIA IS POOR,GOING TWO STEPS BACK AND ONE FORWARD.
-ECONOMY IS POOR COMPARED TO OTHER IN EAST AFRICA.
-MOST SAID ABOUT TANZANIA ON THIS ARTICLE IS TRUE.
IMPORTANT NOTE
-OUR CONTRY IS TO WEALTHY COMPARED TO OTHER EAST AFRICAN COUNTRIES.
-WE SHOULD MAKE SURE THE WEALTHY BENEFITS TANZANIAN AND TANZANIAN ONLY.
-LOOK AT DUBAI (EMIRATES) LOADS OF PEOPLE FROM OTHER COUNTRIES BUT THEY WORK FOR DUBAI FOLKS.
-OUR LEADERS ARE NOT SERIOUS TO WORK ON BEHALF OF TANZANIAN PEOPLE.
-TANZANIA PEOPLE SHOUD BE EDUCATED ON THE POWER OF THEIR VOTES, SO THEY CAN VOTE LEADERS WHO WORK FOR THEM RATHER THAN THEMSELVES.
-WE SHOULD IMPROVE SKILLS FOR OUR OWN PEOPLE.
Hi Article imenipandisha hasira vibaya mno.Wanajua hatutaki na tuna'sababu zetu na sababu hizo wanazo. Huwu jamaa kama hakuzipata aende library akafanye reference. Na uchumi wetu mdogo, we are still in peace island with great solidarity unlike them wenye violence na ujambazi.
ReplyDeleteJamaa aliondika ni mbaguzi na mbinafsi...wao kujua english wanaona wapo mbele sanaaa.
Nenda Kenya leo kama Mtanzania hata uwe na qualification za aina gani, kazi NO..Wamejaa ukabila na ushenzi wa kila aina, mabingwa waku-forge vyeti. Watambae na uchumi wao..Kama wana uchumi mzuri mbona still kwenye ulimwengu wa tatu..
Kwa mtazamo wangu swala la huu muungano na effect zake ziaenda way far from
ReplyDeletejust Economic gains. Binasfi kwa experience yangu apart from kiswahili we(Kanzania and Kenya) fundamentally differ from hawa wakenya something which should be carefully analsed as it might affect our daily life to the extent tukashindwa hata kuzienjoy hizo economic gains.
Wakenya wana ubaguzi wa kikabila wa hali ya juu, hapa chuoni kwangu nasoma na wakenya wengi lakini u can clearly see the way they discriminate each other even when they are this far from home, its sad.
Pili ndani ya wakenya kuna kundi kubwa la watu ambao wana roho za kikatili sana, tumejionea wenyewe walivokuwa wanafanyiana kipindi cha uchaguzi wao. Kukatana mapanga kwa aina ile should never be ignored when we want to allow them to freely spam our country. Mara ngapi umetokea ujambazi uliohusisha mauaji na tukagundua waliohusika ni wakenya.
Tatu huo uchumi mkubwa wanaojisifia nao ni wa kibaguzi na hauwanufaishi wakenya wakawaida walio wengi. Tembelea baadhi ya maeneo hata ya pale pale nairobi utakutana na wakenya wanaoishi kwenye umaskini wa kutupwa na selikali yao imewapa mgongo kiasi cha kusababisha wananchi kugive up and surrender their lifes o the so called MUNGIKI'S.
Uchumi 'mzuri' wa kenya wanaufaidi watu wachache ambao wamo madarakani au walikuwa madarakani kipindi fulani.
Nne Kenya wana tatizo kubwa sana la rushwa, if u think bongo kuna rushwa nenda kenya kajionee mambo na serikali yao bado haijaoyesha dalili zozote za kujali.
I can go on and on about kenya....But MY POINT IS kuungana kwa nchi kutakako involve free movements of its citizens is a very serious thing which should be handled very carefully something that our govement is doing nw. Hapa South africa wana uchumi mkuuubwa but maisha yao ya kila siku ni hovyo kabisa, kila siku ni kuuana, kuchinjana, kupigana risasi, kubaguana, kubakana na mambo chungu mzima ya ajabu ajabu. Huo uchumi mkubwa wanaufaidi lini.
Kuzunguka kwangu katika nchi mbalimbali kumenifanya niapreciate Tanzania yetu and our HOSPITALITY, HUMANITY and TOGHERNESS which i believe they are far more important than the so called economic gains which by the way we are doing just fine on that too.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
Mdau sauz(Sorry kwa kiswanglish).
sasa wewe mwasaga unaona kwa kujiunga na EAC ndo uzalendo utakuwepo? Ama ndo kuongeza matatizo? Ushaona viongozi wetu jinsi walivyo as it is nanga inapaa watu maisha yamekuwa magumu ajira hakuna sasa tukikurupuka hapa na iyo EAC mambo yatakuwa vp? Washaona weakness zetu hao wa Kenya they probably want to take advantage of it, hivyo ni kheri tukasubiri. Hao wakenya wenyewe kwa wenyewe wanabaguana wakija uku itakuwaje? Kwakweli siridhishwi sana na baadhi ya viongozi wetu lkn bado sijaona kama kuna uharaka ktk hili. huyo Gitau huyo anatamani tuu EAC ikamilike wavamie TZ kama nyuki maana mambo kwao yashakua magumu ndo wanatafuta pa kukimbilia, aishie uko uko na shetani wake alomtuma kutu insult WASHINDWE.
ReplyDeleteNyie WABONGO WENZANGU, this is a good thing, tuwe wastaarabu....kumbukeni...EMBO DODO NDIO LITUPIWALO MAWE.....basi sina la kusema zaidi.....NEEEXT!!
ReplyDeleteHAWA JAMAA WANATAKA KUTUMALIZA SISI WATU WA CHINI.MANAKE TANZANIA YETU SASA HIVI HATUIFAIDI INA WENYEWE WAMEISHIKA SASA TUKIJIMIKSI SIKUTAKUWA NA BALAA?
ReplyDeleteMWALIMU NYERERE VIJANA WAKO ULIOWAACHA WAMETUTUPA SISI RAIA.
hatutaki muungano bongo inakua sema taratibu huwezi kufananisha bongo ya 98 na sasa ,kenya walituzidi kwanza mfumo wa siasa waliofuata walipata ushirikiano mkubwa kutoka kwa marekani na vilvile settlers economy ,wakajenga nairobi ,hawajapigana vita kama sisi ,hatajasaidia mapambano ya uhuru kama sisi pia ujue wenye ela kenya ni wachache ,ukiwa una ela kutoka ni vigumu mi nipita shule za serikali mapaka sasa niko chuo urusi ni serikali na tuko nyomi karibia minne chuo kimoja hacha vya miji mingine ,hacha wa india ,china ,ukraine,cuba,poland,south korea, na nk nafasi ambazo kuzipata kenya ni ndoto watu wamagharibi wanachochoe humu mungano kwanza soko liwe kubwa kwa bidhaa zao ila kikubwa ni namna ya kuivuruga tanzania ili wachote malighafi zote za congo basin ndio na bongo pia kwa kutumia bongo ni vigumu sana kwa sasa kwa sababu ya umoja wetu hasa unaletwa na lugha na mazingira tuliojengewa ya die hard people sasa wanawatumia vibaraka wa magharibi kama wakenya na museveni kwa unazani hawaoni udikiteta wa museveni ila wanataka watumie wakishapata wanachokitaka wanamtupa kama savimbi hawa jamaa ni hatari sana cia hawa jamaa wazungu hawataki kuona tunapiga hatua wanatafuta jinsi gani ya kuvuruga,maendeleo tanzania yataletwa na mtanzania mwenyewe hatutaki utumwa wa lugha wala nini kama nondo tunapiga na vitu tutangeneza maprograma,,,watu wanamka sasa bongo,,hata roma hakujengwa kwa siku moja ,,,,bongo tambarare.
ReplyDeleteKaka Michuzi mimi naomba uanzishe open forum ya hii issue ya Tanzania kujiunga East Africa Community na iwe permenent ya kila mwezi watu tutoe maoni yetu halafu umpelekee bwana Salvatory Rweyemamu yule Mkubwa wa Habari Ikulu ili amfikishie Bosi wake. Ni kwamba mimi mdau niko UK , na nakuhakikishia sasa hivi Uingereza inajuta kuingia hiyo EU kwani maisha ya mwananchi wa kawaida kiwango kimeshuka sana ,ndio uchumi wao unakua kutokana na kufungua soko la kazi , lakini kuhusu mambo ya nchi kama vile housing, hospital na hata mwananchi kupata kazi imekuwa tabu mno. Na makundi ya ujambazi yameongezeka kutoka huko kosovo na kuhamia huku wanafanya ujambazi na gangs za eastern europe zoote zimehamia hapa na hawa watu ni wezi kiasi kwamba hata ndugu zetu wanaigeria sasa hivi ni cha mtoto hawa jamaa ni mafia type waorganised gangs. Yaani imekuwa kero hii nchi wananchi wenye uwezo wao wanahamia na kukimbia wengi mno na sasa hivi hapa imeleta chuki sana kati ya waingereza halisi na hawa wa eastern europe yaani zamani ubaguzi ulikuwa kwa watu weusi siku hizi muingereza anatuona sisi bora na kuwaita hawa watu maforeigner !! Wameharibu nchi na ukizingatia Uingereza ilikuwa na uwezo wa kuwaelimisha wananchi wake waende shula na kufanya kazi , ikadharau hili kwa kuwalea na kutafuta wafanyakazi europe vile waingereza ni wavivu sas yanawatokea puani. Tuige huu mfano , huo Muungano wa East Africa I see no benefits which exceeds matatizo yake, tuangalie hizi nchi zinatuletea bargage gani ? Tanzania is a very wealthy Country in terms of resources na watu wake hatujaelimika kabisaa compared na hawa wenzetu. Kujiunga na EAC sa hivi watakuja kwentu kutumia utajiri wetu na kuondoka na kutuacha sisi katika hali mbaya kama inavyotendeka sas hivi Migodini. Hii yote ni Uongozi bora , bila ya kuwa na viongozi wazalendo wasio na ubinafsi basi nchi yetu itaendelea kuwa duni na Wakenya wache watucheke tuu. LAZIMA TUAMKE TUWE RESPONSIBLE KWA MAENDELEO YETU BINANFSI NA YA NCHI NZIMA , kwenye Qurani kuna aya ina maana ya "KILA MMOJA WETU NI MCHUNGA NA KILA MTU ATAKUJA KUULIZWA KWA KILE ALICHOKUWA AKIKICHUNGA" . Viongozi wanaotaka Uongozi wa ngazi yeyote ya kiserikali lazima watambue kwao kuwako kwao pale ni dhamana ya nchi na sio kwa kujifaidisha wao na matumbo yao na familia zao, people who choose to be leaders have to RESPONSIBLE. Yaani huyo Mkenya amenifrustrate na ukizingatia kwamba anayoyasema kuhusu uongozi wa nchi yetu na kwamba hatuna elimu ya kutosha yanaukweli ndani yake , I do not even know nani KANIUDHI ZAIDI huyu Mpuuzi wa KIKENYA ama NINA HASIRA na MIMI MWENYEWE KUANZIA na UONGOZI WA NCHI yangu na WATANZANIA tuu wote kwa ujumla.!!!!!
ReplyDeleteJAMAA NIMEMTUMIA E-MAIL HII, NAOMBA MPITIE WASHIKAJI.......
ReplyDeleteGwarigi, pole sana.
Hebu chungulia hapa uone Watanzania wanavyojibu....................
http://issamichuzi.blogspot.com/2008/12/hivi-hawa-jamaa-wanatutaka-nini-hasa.html#comments.
Unajua tatizo si kama mnavyodhani Wakenya, ni kwamba:
1. Watanzania si wajinga kama mnavyoamini siku zote.
2. Watanzania wanajua kuwa shida yenu ni ardhi tu, mnataka ardhi ya Tanzania.
3. Watanzania wanajua jinsi mnavyobaguana, hawataki ndugu wabaguzi kama ninyi.
4. Watanzania hawapendi lugha chafu kama unayotumia wewe, ni dalili mbaya hii.
5. Baadhi ya matatizo ya Tanzania uliyotaja ni kweli ila utatuzi wake
si Shirikisho.
6. Baadhi ya mambo uliyotaja si sahihi, mathalani kama Tanzania
inataka kuungana na Afrika Kusini au nchi za SADC, basi nanyi Kenya
unganeni na Somalia na Sudan.
7. Tanzania inajua UMOJA kuliko nchi yoyote ya Afrika. Ninyi hamuwezi
kutufundisha.
8. Soko la Tanzania mnaweza kulipata bila Shirikisho, si mnafanya biashara sasa?
9. Kumbuka hadi kufikia sasa, Kenya imeonesha roho mbaya kwa bidhaa za
Tanzania. Hairuhusiwi kutangaza bidhaa ya Tanzania nchini Kenya wala
kuiuza lakini ukija Tanzania bidhaa za Kenya ni nyingi tu. Je, kweli
ninyi ni watu wazuri?
10. Ni kweli kiuchumi Kenya iko mbele ya Tanzania, lakini Tanzania ina
uchumi unaokua kwa haraka zaidi, inapendwa na wawezekazaji, ina amani,
ina maliasili nyingi zaidi, ina mfumuko mzuri wa bei (11% wakati Kenya
ni 28%), Tanzania ina matumanini bora zaidi wakati Kenya inatumbukia
shimoni.
11. Ni kweli Wakenya ni bora zaidi katika utendaji kazi, lakini
Watanzania sasa wanakuja juu na hatuna haja na Wakenya, kwani ni ninyi
tu ndio mnajua kazi?
12. Watanzania tunapenda amani, Burundi, Rwanda, Uganda na Kenya
mnapenda fujo, je, kuna sababu gani ya kuungana na watu wenye vurugu
kama ninyi? Kwanza mjenge umoja kwenye mataifa yenu, muache ukabila,
mjifunze Kiswahili, muwe waungwana na wenye lugha ya kistaarabu,
halafu ndiyo tuzungumze kuwa taifa moja. Bado hamjaiva, jiandaeni.
Asante, kama hutaelewa hiki Kiswahili basi ni ushahidi mmojawapo
kwamba Kenya ina kazi kubwa ya kufanya kabla hata kufikiria kuunga na
nchi nzuri kama Tanzania.
Asante sana, pole sana! Jitahidi usijibu kwa matusi.
Wajifunze kwanza ustaarabu wetu watz na wakishaweza ndio tutaungana nao.
ReplyDeleteHivi kama wao hawapati faida zaidi yetu kwa nini wanangangania vivi? Eti wanasema sisi ndo tutaofaidi, hakuna, inawezekana viongozi wetu wanaona mbali kweli.
ReplyDeleteWanasema hawanyanganyi kazi bali wanaleta ujuzi, wanakataa nini na kukubali nini, kwani sisi hatuna ujuzi?
Huu wa bara na visiwani bado mgumu ije huo wa nchi mia, sisi ndo twajuwa maudhi ya muungano.
WANATAKA ARDHI HAO, KABAILA NA BEPALI.
JAMANI, HIZI NCHI TUNAZOTAKA KUUNGANA NAZO ZINA KASORO SAANA. ZITATUAMBUKIZA CHUKI ZA UKABILA, UDINI NA VITA. BORA TUWE NA AMANI, HATA KAMA NA SISI TUNA HARUFU FULANI ZA UKABURU.
ReplyDeletefirst of all kenya uganda rwanda and burundi you have lond list of problems that you should focus on rather than blaming tanzania. first non of you have even stable government for emxaple in kenya no one knows who is real kenyan president, so how stupid tanzania will be to join a country that has no sounding government?
ReplyDeleteWAKENYA WASITUZINGUE ETI KWA KUONGEA BROKEN ENGLISH YAO WAKAJIONA MABORN TOWN HAPA ASIA KWA MFANO WAJAPANI NA WACHINA WALIOWENGI HAWAJUI HATA NENO LA KINGEREZA LAKINI MAMBO YAO MBONA SUPA JAMANI, HAKA KAUMOJA HAKAFAI POTELEA MBALI HATUTAKI MIMI NDO KABISAAAAAAAAAAAAAAAAA NAKERWA SANA NA HAWA MAJIRANI WALAFI NA WENYE DHARAU KAMA HII ETI SIE NI MASKINI NA WACHAFU LOL JAMANI ULIONA WAPI MTU ANAKUKARIBISHA CHAKULA HALAFUA ANASEMA OHHHHHHHHH SAMAHANI NAFIKIRI SUMU NILIYO KUWEKEA NA UMBO LAKO HUTAKUFA MAPEMA? AU KONDA WA DALADALA AKIPIGA DEBE NA BASTORA ,HE WHO WROTE THIS DAMN ARTICLE SHOULD HANG HIMSELF NA ASIKANYAGE BONGO TENA ASIJARIBU WE KNOW WE ARE POOR AND SO IS KENYA HIVI KENYA KUNA NINI ZAIDI HAWA WATU WANGEKUWA NA NA UWEZO WANGE DOWNLOAD HATA MLIMA KILIMANJARO NOW THAT THE WORLD KNOW IS IN TZ THEY ARE ASHAMED OF WHAT THEY DID GREEDY KENYANS LOL!
ReplyDeleteFanyeni Referundum kama hapa Europe.Lakini mkae mkijua always itatokea nchi fulani ndiyo wanajidai wao ni better kushinda wenzao.
ReplyDeletejamani kwani lazima kujiunga na hiyo jumuia , kama hawa watu wanataka kuwa na jumuia wanaweza kuendelea bila ya tanzania , kwani tanzania imewafunga chain kwenye miguu??, let them go ahead as he said,tayari rwanda ,kenya ,uganda they ok, it seems to me hiyo shirikisho tosha.Siyo lazima tujiunge also there is nothing wrong kama tuna protect lasilimali zetu na vile vile tuangalie how much we benefit kam tukujiunga na ilo shirikisho.Kingine lazima muelewe hakuna watu selfish kama hao wakenya , kwa wale ambao mna marafiki au mnawajua wakenya mtakubaliana na sisi, always these people wanajiangalia manufaa yao , kwa hiyo lazima tuwe makini,kweli kuna mtu yoyote anafkiria kwamba wakenya they care so much kuhusu muungano because they want to see tnaznia na nchi nyingine zinabefit through investments zao?, i dont think so!!,BE CAREFUL MY FELLOW TANZNIANS(IM NOT AGAINST IT BUT WE GOT TO BE CAUTIOUS ABOUT IT)
ReplyDelete...sikatai maoni ya wengi kukataa hii federation lakini sababu mnazotoa kukataa wengi mnaonyesha hamna idea nini mnaongea,nafikiri tungejiunga kwanza kwenye baadhi ya mambo kama biashara, uhamiaji,ajira,baadhi ya kodi,elimu na miundo mbinu,swala la ardhi tunaweza tukalitoa kwenye huo muungano mpaka tuweke sheria zetu vizuri laki kwa ujumla ushirikiano ni kitu kizuri sana na kila mtu atafaidika
ReplyDeleteThis guy is actually very right.But one thing hey! wait a minute, The very attitude of Tanzania and Tanzanians towards Kenya nad Kenyans is from the consequences and problems from the very Kenya. Do you remember the phrase "lete kipande?" If you are Tanzanian once lived or worked in Kenya in the seventies then you will agree with me that Kenya did kick Tanzania hard.Most of the East African Community assets Kenya walked away with them, Most bank roberries in Tanzania are commited by Kenyanas. The problem fo ethnicity which Kenya has can be contageous to Tanzania.Tanzanians has suffered a lot from these guys and this is the very cause of sceptisism toward Kenyans.
ReplyDeleteWACHA TULALIE UTAJIRI WETU KULIKONI KUUZAWADIA
Malisa BULGARIA.
majambazi wakubwa tanzania wanatoka kenya pamoja na ugumu wa ppt,sasa ikiwa kadi tu itakuwa balaa,
ReplyDeletesasa wanaandaa mahakama ya machafuko ya kikabila wakati wa uchaguzi,
kingereza si ishara kuwa na elimu,na wala maendeleo.mataifa makubwa yanatumia lugha zao-china,japan,singapore nk,kwa macho ya wengi kuendelea kufikiri kuwa kuandika au kujua kiingereza ni ustaarbu,elimu au maendeleo kimsingi ni kutawaliwa na wakoloni kimaisha
NAPENDA NISEME KUWA, ARTICLE YA HUYU BWANA INAUMA KWELI KWELI KIASI INAWEZA KUMFANYA MTU KUACHA KUFIKIRI NA KURUKIA HOJA NYEPESI NYEPESI. HOJA ALIZOZILETA AMBAZO NAKIRI ZINAUKWELI MKUBWA NI PAMOJA NA UKWELI KUWA BADO WATANZANIA TUNAKUMBATIA HISTORIA. MATUKIO AMBAYO TANZANIA ILIYAFANYA MIAKA 40 ILIYOPITA YALIKUWAYANATUPA KIFUA MBELE KATIKA ANGA ZA KIMATAIFA. UKOMBOZI WA AFRIKA, VITA YA NDULI, SIASA YA UJAMAA NA KUJITEGEMEA, MWALIMU NYERERE, KISWAHILI, UTU NK. LAKINI UKIANGALIA KWA MAKINI, VYOTE HIVI VILIKUWA VINAKUJA KWA KUUMIZA UCHUMI WETU, UTAMADUNI (MNAHABARI LUGHA ASILI ZA TANZANIA ZITAKWISHA KATIKA MIAKA 50 IJAYO), VITA YA NDULI NA UKOMBOZI ZILIKOMBA AKIBA KUBWA AMBAYO TANZANIA ILIKUWA NAYO, ANGALIA NCHI TULIZOZIKOMBOA HAZINA HATA HABARI JUU YETU), MWALIMU KAONDOKA KATUACHIA MANYANG’AU, NINA WASIWASI YALIHUSIKA KUMUONDOA ILI YAKWAPUE BILA WOGA. (UFISADI, MATAJIRI NA SIASA, SERA ZINAUNDWA ILI KUWANUFAISHA WACHACHE, NA UOZA MWINGI) HUKU WATANZANIA WANACHEKELEA AU KUONA SONI KUKEMEA NA KUENDELEA KUWACHAGUA KWA KUPEWA UBWABWA. YALIYOTOKEA KENYA KWENYE UCHAGUZI SI TUMEYAONA TARIME?
ReplyDeleteNASEMA KWAMBA WATANZANIA TUNATATIZO KUKWA, YES, TUNA BANDARI AMBAYO INGEHUDUMIA NCHI NYINGI IKIWEMO THE MIGHT DRC, WAKATI NCHI JIRANI ZILISHINDWA KUVUMILIA ZIKAIVAMIA, SISI TULITAKIWA KUFUNGUA CORRIDOR YA KUIHUDUMIA KWA GHARAMA YOYOTE,HATUKUFANYA WALA KUFIKIRI, SAHIZI TUNGEKUWA TUNA KULA TARATIBU. HATUFIKIRI UCHUMI KABISA. KWANINI KUSIWEPO NA MINI-DUBAI MAENEO YA KONGOWE AU RUFIJI. KWA NINI WOTE WAENDE DUBAI KUNUNUA MAGARI? ANGALIA THE WHITE ELEPHANT (KIA) VIONGOZI WETU WANAONA KIZA TOTOLO, KWANINI KUSIWEKEZWE PALE, UWANJA UPO, ENEO LIPO, PIMA MAENEO KWA NIA YA KUKUZA UTALII, YAJENGWE MAHOTELI, MACASSINO, WENYE FEDHA ZAO WAJE KUPUMZIKA. AKILI ZIMEGANDA NA KUISHIA KUJISIFIA UCHUMI UNAOKUA KWA ASILIMIA 6. ANGALIA COASTLINE TOKA TANGA HADI NTWARA , KWANINI KUSIWEPO RESORTS ZA KUTOSHA WENYE PESA ZAO WAENDE KUPUMZIKA. (IGA DUBAI). MADINI TUNAYO LAKINI YAMETUSHINDA KUYASIMAMIA, TANZANITE INAUZWA KWA WINGI KENYA. UTAMLAUMU KENYA? DHAHABU INACHIMBWA KWA WINGI WATANZANIA HAWAPATI KITU CHOCHOTE. UTAMLAUMU KENYA? INAUMA SANA. TUNAJICHANGANYANYA KUHUSU LUGHA, KISWAHILI AU KIINGEREZA. SASA WATANZANIA HAWAJUI KISWAHILI WALA KIINGEZA, UTAMLAUMU KENYA? INAUMA SANA. NANI ANAANGALIA EAC MIAKA 25 IJAYO, ARUSHA HAIWEZI KUWA NAIROBI YA PILI? HATUFIRII HIVYO KWA NINI?ANGALIA ILIVYO NGUMU MTANZANIA MJASIRIAMALI KUPATA MKOPO TIB, HAKUNA SERA ZA MAKUSUDI KWA AJILI YA WATANZANIA KWA SABABU HAPENDWI MTU HAPA. SUALA LA VITAMBULISHO VYA TAIFA LINAVYOSUA SUA, NI SAWA KUKATAA KWA SASA KWA KUWA HATUNA VITAMBULISHO. WENZETU NDIYO WATAKAOSAFIRI. YOTE HAYA NI USWAHILI NA UBABAISHAJI MKUBWA WA WATANZANIA (HASWA VIONGOZI)
ILIKUEPUKANA NA HALI HII, SHIRIKISHO NI JAMBO MUHIMU KWETU, MKIWA NA SHIRIKISHO KUTAKUWA NA CHECK AND BALANCE, VIONGOZI MAFISADI WATASHUGHULIKIWA, AKILI ZETU ZITACHANGAMKA. TUSIOGOPE KUTUKANWA, TUMEJITAKIA WENYEWE. TUSIPOKUBALI KUJIUNGA NAO WATATUVAMIA KIJESHI, UWEZO WA KUPIGANA NAO HATUNA TUTAKUWA TUMEKWISHA. TUFIKIRI MARA MBILI.
MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Mkereketwa chukua tano. ULIYOSEAMA ni kweli kweli tupu na mungu
ReplyDeleteakusaidiae. Hayo maendeleo ya Kanya mimi hata sijayaona. Mpaka leo hii unaweza kumlipa mlinzi pakiti ya sigara na bado akakulindia gari mpaka asubuhi. Jiulize nani anaweza kufanya hivyo bongo. mpaka leo unaweza kuingia baa na kumwambia ntu wee masikini toka kwenye mimi ikae mimi iko na besa. Na kweli akakupisha wapi katika TANZANIA waweza kufanya hivyo.
Tatizo la wakenya ni kwamba wameshapoteza uelekeo wenyewe hawapendani. Kwetu sisi asipokupokea shekhe atakupokea mvuta bangi na atkufadhili. Wakenya wanapokutana na mbongo wanajisikia vizuri sijapata kuona. Kenya haina dhahabu lakini dhahabu yetu wameshaiuza sana soko la Dunia. Mbuga za wanyama ukiziona utacheka lakini wao ndio wanaopokea watalii wengi. Hizo ni ndogo tuu za haraka haraka. Kwahiyo huyo anatutongoza wala hatukashifu kula bati kudaaa dada deeeki.
Hongera JK kwa kusikiliza kilio. Kwa kifupi hatutaki muungano ukijumlisha na nchi zenye matatizo ya kisiasa kama Uganda, Rwanda na Burundi. Isitoshe tuna Muungano wa Zenji na Tanganyika ambao bado tunaufanyia kazi. Kikubwa ni kwa nchi yetu kuwa na viwanda kuweza kuzalisha bidhaa zetu wenyewe and start importing less. Najua kuna sera nzuri zilizowekwa kwa wawekezaji, hivyo tuendelee na utaratibu mzuri wa kuwa na vivutio kwa wawekezaji. Tuwe kama wenzetu sometimes ambapo unajipendelea wewe mwenyewe hao majirani watajijua wenyewe. Wanaweza kutuchukia tu ni poa lakini will will be ok tomorrow
ReplyDeleteMichuzi!
ReplyDeleteasante kwa kuileta mada hii hapa. kule kwengine hata hainogi.
ni hivi mkuu, hawa wakenya, ambao mwalimu aliwaita manyang'au (hakukosea kabisa) watabakia hivyo hivyo tu - manyang'au.
Habari watanzania!!!
ReplyDeleteTanzania ya sasa imebadirika, kamwe sio ya kuburuzwa na kuamini, ni ya kutafakari na kuhoji mambo! Sasa huyo jamaaa aliyeandika hiyo mada, kwasisi watanzania(tunao hoji na kufikiri) ni kwamba inawezekana toka amezaliwa hajawahi kufikiri au ni kilema wa akili maana anashindwa kuchambua mambo, nadhani ndio wale wanaoitwa copy and paste, hawana wanaloweza kulitengeneza kwa ufasahaa, siwezi kuweka hoja zote za msingi ambazo zinatufanya watanzania tuvute subira ktk suala la jumuia ya Afrika mashariki maana inahitaji akili kidogo sanaaaa kugundua sababu za msingi. Hawa jamaa wamekata tamaa na hawana future wanatafuta pa kuangukia nasi kamwe hatutawakubari mmpaka wafike maali waturidhishe kuwa tunaweza kuungana!Yapo mapungufu mengi sanaaaaaa, kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, kwa haraka ni kwamba yawapendi kuja kuitwa wakimbizi maana wanataka afrika mashariki iwe moja na wakimbilie popote pale (especially Tanzania), huko makwao wameyakoroga sanaaa kiasi kwamba hayanyweki na ndio maana wanahangaika, nani anaweza akatabili Uganda baada ya Museveni?? vipi kuhusu Kagame, Nkunda, Burundi na Kongo??? wakenya wamejifunza ama wamewekeana visasi???????. KWA TAAARIFA YAO, SISI NDIO WATANZANIA AMBAO TUMEJIFUNZA AMANI, KUISHI PAMOJA BILA KUULIZANA KABILA WALA DINI, NA WOTE TUNAFANANA HUWEZI KUJUA KABILA AU DINI YA MTU KWA KUMTAZAMA, NA SASA LAZIMA TUWATIE JANDOOO ILI MPATE KUSTAARABIKA!!!!
naomba kuwakilisha!!!
Hii inaonyesha jinsi gani njaa za wakenya zinavyowapeleka puta.
ReplyDeleteWATANZANIA WAWILI WAWE NDUGU AU SI NDUGU WAKIANZISHA BIASHARA LAZIMA WATADHURUMIANA, HII NDIYO JADI YETU. HATA HIVYO BIASHARA HIYO HAITADUMU KWA MUDA MREFU KUTOKANA NA UZEMBE TULIONAO WA KUTOKUJUA LOLOTE BALI UJANJAUJANJA NA UBISHI WA UJUAJI, HII NDIYO JAJI YETU. HATUKUBALI UKWELI, BALI HUJITETEA KWA KILA JAMBO KUWA TUNADHURUMIWA, TUNAONEWA NA TUNACHUKIWA. TUJIFUNZE KUKUBALI UKWELI HATA KAMA UNAUMA, TUACHE UBISHI USIO NA MAANA.
ReplyDeleteKENYA, UGANDA, RWANDA NA BURUNDI WAKIUNGANA NI VITA TUPU SISI TUTAWASULUHISHA MSIINGIE HUKO JAMANIIIII
ReplyDeleteMada nyeti sana nafikiria kama ninaweza kuzisambaza hizi comment zote za wadau wenzange kwa wabunge pale dododma. sijui michuzi atasemaje?
ReplyDeletemakubwa yameongelewa. mimi nitatoa mfano mdogo tu wa ukweli.
Jamaa yangu Mtanzania alimwoa demu mkenya. Jamaa alipopota matatizo na kuwekwa ndani polisi. Huku nje, mke wake mkenya akamchukua mtoto na mali zote za jamaa zinazohamishika akakimbilia kwao kenya LOL!!!! pale leo jamaa hajamuona mwanae. Sasa ndio tuungane na hawa wezi wakubwa!!!
haiwezekani hata siku moja.
ENOUGH IS ENOUGH HEBU LETS FOR ONCE TUJENGE NCHIYETU ...TUACHANE NA WAPENDA VITA..TUWAACHE WAO WAPIGANE SISI TUJENGE NCHIYETU,TUCHIMBE MADINI YAETU , TUKUZE VIWANDA VYETU NA TUBORESHE ELIMUYETU,,WAKENYA KAMA WANAHITAJI MUUNGANO WAUNGANE NA MAJIRANIZAO SUDANI,ETHIOPIA AND SOMALIA WAKIONGEZA NA RWANDA NA BURUNDI THEY'LL MAKE A GOOD TEAM..UMOJA NIMZURI BUT KWASASA HATUPO TAYARI..
ReplyDeleteHawa wakenya kwa nini wasijiunge na sudan na somali majirani zao????
ReplyDeletewameng'ang'ana na tu na sisi???
Historia inatuhukumu kwa tabia zao.
Hawa size yao ni hao wababe wa vita wenzao.Eti kenya uchumi mkubwa, sawa, lakini uko kwa wazungu na watu wachache. Rais wengi maskini sana na hawana opportunity, ndio maaana wanalilia bongo.
Naishauri serikali nasi tuzuie bidhaa toka kenya. Dharau walizotuonyesha, kutonunua bidhaa zetu.
Bongo tambarale bwanaaaaa
FROM NOW ONWARD MIMI BINAFSI SITOTUMIA TENA BIDHAA ZA KENYA WANA DHARAU SANA HAWA WAJINGA, KWANZA LAZIMA WATANZANIA TUJIWEKEE UTARATIBU NASISI KAMA WAO KUULIZA BIDHAA IMETENGENEZWA WAPI NDO TUNUNUE KAMA NI IMPORTED NA ZIPO ZA KIBONGO TUNUNUE ZA KWETU TU, KWASABABU JANA NILIKUWA DUKANI BAADA YA KUSOMA HII ATIKO YA HUYU MKENYA NIKAULIZA NIPEWE MAZIWA YA BOX NA NIKASISITIZA NISIPEWE YA KENYA UNAJUA KUMBE BIDHAA NYINGI TUNAZO HATA SISI ILA TU HATUNA UTAMADUNI WA KU SPECIFY ORDER ZETU PLZ WATANZANIA TUKISHIRIKIANA KATIKA HILI, NDANI YA MWAKA MMOJA TU KUTOKUNUNUA BIDHAA TOKA NJE NINA UHAKIKA HUTAONA YALE MATUNDA YANAYO GALAGALA CHALINZE KWA KUKOSA WASINDIKAJI WALA VIBAKA MITAANI KWANI WATAKUWA WAMEMEZWA NA VIWANDA VYETU VITAKAVYOKUWA VINA HANGAIKA KULITOSHEREZA SOKO. ALAFU UTAONA KAMA HAWA WAKENYA WATAENDELEA KUINUA MIDOMO YAO NA KUTUTOLEA MATUSI. AGHSANTENI KWA PAMOJA TUTASHINDA
ReplyDeleteMkuu wa wilaya ya naniii na Balozi wa Kampuni ya naniii, na wadua kwa ujumla, natumai hamjambo. Ndugu zanguni naomba kuchukuwa fursa hii, kuwataadharisha watanzania wenzangu juu ya huo Muungano/Shirikisho la nchi za Afrika Mashariki pamoja na Burundi na Rwanda. Tusiwe na haraka katika jambo ili. Baadhi ya majirani zetu especially wakenya wanang'ang'ania EAC kwa ajili ya maslahi yao binafsi. Mambo hayo ni: wao kuweza kuja kwetu, Tanzania na kutupora ajira za ndugu zetu na ardhi. Mifano tunayo. Angalia tu yanayoendelea kwenye sekta ya utalii hasa kwenye mahoteli ya kitalii, utakuta wafanyakazi wanaoshikilia nafasi za juu ni wakenya! Binafsi nawafahamu wakenya vizuri sana. Baadhi yao nimesoma nao kwenye Chuo Kikuu kimoja hapo nchini. Katika darasa letu karibu nusu ya wanachuo walikuwa wakenya na waganda wachache. Wanafahamu uwezo wao wa darasani! Baadhi ni wazuri na wengine ni vilaza! Mbali ya kusoma nao, pia nimeshawahi kufanya nao shughuli mbalimbali nikiwa nafanya kazi kwenye taasisi moja ya Serikali yetu. Aidha, nimefanya nao kazi katika Taasisi mbalimbali za kimataifa katika nchi mbalimbali duniani. Hadi ninapo andika ujumbe huu, nipo kwenye ofisi moja na wakenya kama nane hivi wanaofanya kazi katika idara mbalimbali hapa naniii.
ReplyDeleteKwa uzoefu wangu baadhi ya wakenya si watu wazuri. Ni watu wanaopenda sifa, ukabila, kujiona na wanapenda sana kujipendekeza kwa wazungu ili waonekane bora hata kama ni mbumbumbu mzungu wa reli! Kiingereza chao uchwara ndio kinawafanya waajiri wengi wawapapatikie lakini baadhi yao kichwani weupe! Sasa hivi wang'ang'ania kuja Bongo ili kupora ajira za Wa-TZ na baadhi yao wamediriki hata kuoa au kuolewa na Wa-TZ ili waendelee kubaki TZ. Nilibahatika kukutana na mkenya mmoja anafanya kazi kwenye kampuni moja ya matangazo maeneo ya Posta, Dsm. Huyu jamaa ameamua kuoa mbongo na ameamua kutorudi kwao kutokana na shida ya ajira na ardhi. Kwahiyo, ajira na ardhi ni miongoni mwa sababu inayowafanya hawa watani wetu wajadi wang'ang'anie hilo Shirikisho la Afrika Mashariki!
Nimepata kuongea na baadhi ya hawa jamaa, kuhusu masuala ya upatikanaji wa ajira kwa wasomi wao wanaomaliza kiwango mbalimbali vya elimu nchini mwao na hata nje ya nchi yao. Wakaniambia kuwa ni shida sana kupata ajira ya aina yoyote nchini kwao pindi wanapoitimu mafunzo mbalimbali. Ndio maana wengi wao huamua kukimbilia TZ, Uganda, Burundi, Sudani, Ethipoia na kwingineko kutafuta ajira. Lakini wanapenda sana kuja TZ kwa sababu ya amani, utulivu na waajiri wengi kupenda kuwaajiri wao kutoka na "kujua" kuongea Kiingereza "vizuri"! Na pindi wapatapo ajira hapo TZ, ukimbilia kuoa au kuolewa na Wa-TZ ili waweze kupata ardhi kiulaini na kubaki nchini na kuendelea kuleta jamaa zao wengine! Inadaiwa kwamba, si rahisi kupata ardhi nchini kwao kama ilivyo Bongo ambapo mapori menngi bado yamelala bila kumilikiwa! Huko kwao ardhi ilishakwisha!
Mbaya zaidi baadhi ya hawa watani wetu wa jadi ni wahalifu!
Kwahiyo, ndugu zanguni, narudia tena, tuwe makini na hawa jamaa/watani wetu vinginevyo watatushinikiza kufanya maamuzi ambayo yatakuja kutuathiri sisi (Wa-TZ) pamoja na vizazi vyetu.
Tuwe waangalifu tusije geuzwa watumwa katika nchi yetu!
Mdau Mzalendo
Anony Dec 2.2008
ReplyDeleteUMEJITAHIDI SANA KUJIELEZA, MIMI BINAFSI NAWALAUMU SANA VIONGOZI WA TAIFA HILI HAWANA DIRA HAWANA DIRA.
Kama ulivyotabiri, WATATUVAMIA hawa.
Ki vipi, angalia nchi jirani na Congo wanachofanya, na baadhi yao ndio hao tunataka kujumuika nao.
Kama sheria ya jumuiya ni nzuri si vibaya kujiunga lakini suala ARDHI nafsi yangu inasita sanaa.
Inasemekana K & U zinaingia T na eneo lina baki sasa hawa mabwana walivyo na usongo wa ardhi watawamaliza wa T.
mimi sio mwanauchumi.lakini kwa uelewa wangu nahisi uchumi wa kenya,uganda, there GDP hatofautiani kwa kiasi kikubwa.Generaly speaking!
ReplyDelete2.Its true that,kenyans are dying for this cooperation to happen.Kenyans seem to be more desparate na hakuna hata wanalolijua,lugha hata kitaifa haijulikani ni kiswahli au kiingereza,its unstability.politicaly,social,nk no moja ya sababu kutokuungana nao.
3.ni ukweli mtupu kwamba viongozi wa tanzania wanapenda kujulikana na kujituma zaidi katka mambo ya kimataifa zaid ya taifa lao,lakinikumbuka yote haya yan pros,and cons.hasa katka uchumi wetu mchanga ambao haujakuwa dhabit na pia ambao unhitaji wataalamu zaidi.Tunachohitaji ni interaction with other developed countries sio kama KENYA OR UGANDA,hakuna ambalo tunaloweza kulipata kutoka kwao.ni bora tuwe na program,kongamano,na mijadala mbalimbali na nchi wahisani kuliko ,maana tutaweza kuokota moja mbili kwa ajili ya nchi yetu changa.
NDUGU WATANZANIA,kenya,uganda,burundi,ruanda kuungana nao ni kujimaliza wenyewe.its enough of what we had at the first place.
cali-boy
Miaka michache iliyopita nilikuwa na date na mkenya kwa miaka kadhaa. Alikuwa na kazi nzuri na mimi kazi yangu ilikuwa nzuri lakini yeye mshahara wake ulikuwa mkubwa sana kuliko mimi. Kwa ujinga niliokuwa nao nikamwamini kila alichokuwa anasema. Akanunua nyumba kenya kwa hela zake wakati yuko na mimi kwakutumia hela yangu kulipa kila kitu ndani ya nyumba. Mkataba wa kazi ulipoisha akarudi kenya akaniacha ulaya na madeni, alinihahidi kunilipa lakini ilikuwa uongo. Akaamua kuniacha, miaka ilipita akaja tena ulaya eti anataka turudiane! nikamwambia sitaki, basi sikumsikia tena. Nilimlipia credit madeni, nguo, vitu vya jikoni alivyonunua ulaya kupeleka kenya, mashuka, mataulos etc. Anakazi nzuri tu huko kenya ya government, lakini hela huwa hana na bado anadhani kuna siku atarudi tena anitumie. Nimepata mchumba wa tanzania mwenye kazi ndogo na mshahara mdogo lakini ninafuraha sana kuliko yule mkenya mwenye madegree therathini na kazi mshahara mzuri!!!
ReplyDeletehawa watu msiwaone wa maana sana ni washenzi tu hawana lolote hata hicho kingereza mnachokisema ni broken tu.
ReplyDeletepia wanavishwa kilemba cha ukoka na mabwana zao wazungu kutokana wao ndio wanaofaidishwa na uchumi wa kenya.asilimia kubwa ya uchumi wa kenya upo mikononi mwa makampuni ya nje.
simnakumbuka Tanzania nayo ilikua inavishwa kilemba cha ukoka wakati wa uongozi wa awamu ya tatu?
mnajua ni kwanini?
nikutokana wazungu na wa&geni wengine ndio walikua wanafaidika zaidi
hii leo tunashuudia wakina mramba na wenzie wakifikishwa mahakamani kuwajibika kwao kwa uzembe na kutokua wazalendo.
unajua sikuzote ukisimamia haki zako lazima utachukiwa,kenya ilizoea kujinufaisha kwa kupitia Tanzania sasa Tz imekua makini wanalalamika.
wasiwadanganye watanzania hawawatu ni njaaa tu kwao raia wao wanahali ngumu ukilinganisha na sisi,wachache ndio wanaofaidika na uchumi wa nchi, na ndiomaana unyama na kubaguwana kwao ni kiwango kikubwa.
pia hawa watu ukisoma makala zao au vyombo vya habari vyao kwa ujumla ni kupandikiza chuki baina yao na Tz au wenyewe kwa wenyewe,kwahiyo watanzania tusishangazwe nao.
ukiona wanakaa na kutujadili ujue wanatuhofia mambo yetu sasa ni ya uhakika na ndiomaana wanatujadili.tungekua majumbe ndio kama uongozi uliopita wasingetuhofia,
hongera Kikwete kwa kukaza uzi funga mafisadi wote kaza uzi.
watanzania sisi tunainferiority complex tumekosa kujiamini na ndio hasa inayotufanya watuchukulie advantage tunawaona wamana sana hawa watu.
hawa watu wanatuogopa sisi huku tunaishi nao.Kwanza hawapo civilised hata wakienda chooni hawajui kutumia maji na ndiomaana midomo yao michafu.
habari zenu jamani..nimependezwa saaana na mapenzi kwa nchi yenu..umoja ni nguvu..ila pia tukumbuke kuwa mtaka yote kwa pupa pia hukosa yote..wakenya walikaa na kutafakari faida za muungano ulokuwepo hapo mwanzoni na kuona hakuna watakaloambulia ndo maana wakauvuruga muungano na kujipanga upya..yani wao walifanya moja kwanza la kujijenga..leo hii wanakurupuka tu nakutudhihaki..jamani muungano tanzania ndio inajua tafsiri yake kuliko nchi yoyote ile afrika..Kenya ina eneo la lipatalo 569251 km za mraba na ina wananchi wapatao milioni 47 wakati tanzania ina eneo lipatalo 945687 km za mraba na ina wananchi wapatao milioni 43...alafu huyo anaesema kuwa wana eneo..eneo hilo limetoka wapi?kenya mabasi yanasifiri hadi usiku si kwasababu eti ni bora saaana..la hasha!!ukianzia isebania mpaka limuru hakuna hata nafasi kidogo iloachwa wazi..ni nyumba na mashamba..sasa hao watekaji watajificha wapi?kiukweli elimu ya kenya ni English tu ila tanzania ipo juu tena sana..kenya imeishiwa mbinu za kimaendeleo na sasa wanaona hoja ni kuirubuni tanzania..hakika huyo obama mwenyewe kama asingekuwa na damu ya kizungu kamwe asingeshinda uchaguzi...Kenya ni wabaguzi..huwezi ukakuta mjaluo anakuwa mbunge kisii au nyeri wakati hapa kwetu Lawrence masha ni mbunge wa Mwanza..Kuna mtu katoa atiko eti Nyerere ana asili ya Kitutsi..Je ANAJUA ASILI YA WAKIKUYU NA WAKALENJIN?wakenya acheni masihara jamani..kama mna upendo tunaomba uanzie Somalia,Sudan halafu mjiunge na waganda...na nyie warwanda jiungeni na wenzenu warundi na wakongo si wote mnaongea kifaransa?..TOKENI ZENU HUKO..ALA!!!!
ReplyDelete