Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Tunawasubiri kwa hamu Mzee Yusuf na Jahazi Taarab hapa London, video zenu kutoka eastafricantube ni nzuri sana.

    ReplyDelete
  2. duh mambo haya namtafuta huyu mtoto kwenye hii video niko tayari kumuoa leo leo. http://www.eastafricantube.com/media/9032/Jahazi_Modern_Taarab_-_Mkuki_Part_2/

    ReplyDelete
  3. mimi sifiki, mzee yusuf katukejeli wapiga boksi katika nyimbo yake moja, pia kaimba kuwa hana haja ya pound sasa nikienda si atapata tija? laiti ingelikuwa ni bure kwa vile hana shida ya pound basi ningelifika. nahiari niende kupiga boksi

    ReplyDelete
  4. ah masikini mambo gani haya, taarab kweli imekufa sasa tunaletewa staili hii ndio inaitwa taarab. ala zitumiazo ni tafauti, style ya nyimbo na maudhui ni tafauti, uchezaji ni tafauti, ilikuwa akina mama tu dnio wanaocheza sasa naona kama wako katika sindinge ngoma. hivi kipo kikundi kinachoendeleza taarab ya asli hususan kwentu zanzibar tulikozoea kusikilza nyimbo za tarab redioni zikatulaza usingi mnono sio mapigo haya ya leo yanaitwa tarabu

    ReplyDelete
  5. Unamtafuta huyo mwenye makalio makubwa au yupi? hebu tuelezee

    ReplyDelete
  6. Hahahahaaaaaaa, hii sijawahi kuiona, wamebanaaa wameachiaaa

    ReplyDelete
  7. Huyu Pinto na mwenzie mbona wanataka kutuchezea? sisi tunataka MUKRIM au IKHWAN SAFAA kaenda kutuletea huu upuuzi wanaita MODERN TAARAB!

    Who listens to this nonesense?

    ahh mie nitakaa ndani nasikiliza MALINDI kwa mbaali badala ya kwenda kwenye haya MAYENU sikuhisi wanaita MODERN TAARAB

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...