



Katika mpambano huo alishindania ubingwa wa mkanda wa kahawia na kujinyakulia nafasi ya pili na Silver medal. Mambo yalifanyika katika viwanja vya H B Colonya
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera Ibrahim...kwa kunyanyua hadhi ya taifa langu kule India,hii ni medali ya halali kabisa...sio kama wale mabeba boksi waliodoea kule ulaya na marekani...wala hawanavipaji vyovyote bali kudoea vijizungu na vidola!!!aibu tu
ReplyDeleteHuyu ni Ibra wa ifunda tech ama siyo maana kwa mbani kama wamefanana jamaa alikuwa mnyonge kishenzi shule sasa kama anacheza karate kweli maisha yanabadilika
ReplyDeletekabla sijakupa hongera zang.naomba nijibu hili kwanza
ReplyDeleteHuko india umekwenda kusoma nini??
umekwenda kusomea huo ugomvi (karate) au umekwenda kusoma masomo mengine lakini karate unacheza kama hobby??
then mbona hao wapinzani wako wanaonekana MDONDO TU (WACHOVU)!!au macho yangu!!!maana naona wamekondeana kama mateja tu wa kinondoni!!!!
ni hayo tu
ah hao ni watoto wadogo wacha maujiko tena age kati ya 15-19 yrs wakati ww una umri zaidi ya 30
ReplyDeleteteh teh teh teh hah
Huyo ndiye yule wa ifunda tech.Wabongo achane nyodo ibra kafanya la maana sio sisi tunamfahau vizuri ni pamoja na masoma India ya sofware bado anajitahidi kufikia level hiyo nani mwenye ujasiri wa kuzipiga kama yeye ugenini? Tumpe shavu kijana aendeleze konfu yake na kututangazia jina la nchi yetu
ReplyDeleteLazima wabongo tukubali Ibra katupaisha, hizo sio ngumi za mitaani jamani watu wanapangwa kwa level zao kuanzia uzito, miaka, na level zao za mikanda huwezi piganishwa na watoto
ReplyDelete