mwl. joseph mbele akiwa na wadau masomoni nanihii huko...


Mheshimiwa Balozi na Mkuu wa Wilaya,
hongera na shukrani tele kwa kazi unayofanya ya kutuunganisha na kutuletea taarifa mbali mbali. Mungu aendelee kukubariki.

Napenda kukujulisha kuwa nami nimeanzisha blogu: http://www.hapakwetu.blogspot.com
na

kwa ajili ya kuelimishana kuhusu masuala mbali mbali ya jamii, hasa utamaduni.
Mdau Mwl. Joseph Mbele

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. HAWA WALIMU JOHN NA JOSEPH MBELE NI NDUGU? AU NI MAJINA YA KOO ZAO YAMETOKEA KUFANANA?

    ReplyDelete
  2. Mdau, mwalimu mhusika ni mimi, Joseph Mbele. Hili jina jingine limetokea kwa bahati mbaya.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...