Home
Unlabelled
ufafanuzi jadidu wa nyota na mwezi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sasa ufafanuzi uko wapi - au ni mimi tu?
ReplyDeleteHongera kwa picha lakini mimi bado naona giza na maanisha sijaelewa kabisaaaaa
ReplyDeleteFafanua inatokea hivyo katika miezi ipi na kwa nini?
Jamani natamani sana kuelewa kuhusu hii matter ila kwa huu mchoro naona mdau haujanieleza lolote, naomba maelezo tafadhali
ReplyDeletehata mie kwa kweli sijaelewa labda mngetufafanulie
ReplyDeleteWadau wawili wa kwanza juu...mkiikuza hii picha na mkasoma maelezo mtaelewa vizuri tu, mimi ni layman kama ninyi, but nimeelewa sana tu. Hizi sayari na mwezi vipo mbali sana na sisi na tunaviangalia tukitokea chini, maybe between 45 and 60 degrees centigrade,ndio maana tunaviona vipo ktk mstari mmoja. Vingekuwa karibu kama mita mia na vingekuwa vimekaa at 180 degrees centigrade ya usawa wa macho yetu, tusingeviona kama vipo ktk mstari mmoja.
ReplyDeleteAnony at December 03, 2008 5:27 PM, what weed u been smokin'? what the hell are you talking about? degrees CENTIGRADE? what?
ReplyDeleteBado... kwa kuwa ilikuwa usiku kwa hiyo Dar ilikuwa upande wa pili wa jua. Utaionaje Venus. Kitu kingine kwa kuwa mwezi unaonekana kupata mwanga wote wa jua tungeona Full Moon. Jaribu tena.
ReplyDeletenadhani huyu bwana kajitahidi tuelewesha, labda kinachotakiwa hapo ni kulinganisha michoro yote mitatu na kupata picha harisi.
ReplyDeleteKwa mdau wa 5:57pm (au mdau wa 45 na 60 degrees centrigrade) ni kwamba pamoja na kuikuza picha sikuona ufafanuzi. Zaidi sielewi centigrade zinaingia vipi hapa!
ReplyDeleteSamahani wadau na poleni kwa kuhangaika. Mambo yote na zaidi unawez kuyapata kwenye link hii ambayo yako wazi sana na ya kisayansi http://www.astronomy2009.ac.tz/main.html
ReplyDelete