Sema kaka, mambo vipi?
Aisee kuna wadau walikuwa wanataka kujua ni jinsi gani sayarizinaonekana kukaa kwenye mstari mmoja.Nafikiri hii picha inaweza kuwasaidia.
Best RgdsMateyJr

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Not possible.

    ReplyDelete
  2. Yaani wewe ndo umetuchanganya kabisaaa, sio siri. Confuser mkubwa sana wewe.

    ReplyDelete
  3. impossible

    ReplyDelete
  4. Hapa hamana mwenye uwezo wa kujua maana ya hili swala isipokuwa Mwenyezi mungu Mwenyewe,kwani kama watabiri walitakiwa even kulijua hili hata kabla halijatokea lakini hata baada ya kutokea hamana walichoongea chochote kuhusu suala hili. Hili jambo linamaana sana haswa kwa wale walioamini kuna jambo Mwenyezi mungu anataka tulijue ila tatizo la wanadam wajuaji wengi na wanausahau ufalme wa mungu ndo mana kila mtu aandila lake.Tumrudie Mungu na kuacha maasia kwani hizo zote ni dalili za mwisho wa dunia anaetaka akubali na asiyetaka aache ila ukweli ndo huo.

    ReplyDelete
  5. Bongo ndio hamkutangaziwa, wengi walio ughaibuni watakwambia kuwa walilijua hili, I knew abt this 2 weeks befor it happened. Na hii ni sayansi ya UNAJIMU. Period.

    ReplyDelete
  6. Jamani michuzi fanya mawasiliano na hawa jamaa zetu wa mamlaka ya hali ya hewa,,,,wanajua mambo mengi juu ya anga, tena ukimpata Dr. mhita, atasaidia kumaliza huu utata

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...