Mdosi na Luke Music Factory wakishirikiana na Dj Joe (Cat Daddy) wa W.K.Y.S. 93.9 Fm wanakukaribisha kwenye EAST AFRICA NEW YER'S PARTY,itakayo fanyika mjini Silver Spring,kwenye Club ya

THE GALLERY OF SILVER SPRING,
1115 East West Hwy,
Silver Spring
Md 20910.

Hii ni party ya kwanza ya East Africa na Kwa mara ya kwanza kwa madj magwiji Afrika mashariki wa Washington Metro Area(kapitali) watakao kupa burudani bila kuchoka,muziki mpaka majogoo karibu utikise kichwa,urushe mikono na kujiachia achia,ili mradi si fujo wala patashika bali ni jazba la burudani la kuukaribisha mwaka mpya litakalo kufanya mchangamfu usiku kucha.
karibuni
The Gallery.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. sasa dj luke yuko safari au gallery tuambie mahali pa kila siku mara safari mara huston mara atlnta mzee unatakiwa upuzike angalia na afya yako

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...