Kila mtu alitaka kujua kuna nini huko
sio tu wachina bali mataifa mengi walifurika banda la watanzania ambalo lilisanifiwa kwa makeke
Kama kawaida yetu,watu husema misosi murua ipo Tanzania,msosi ulimalizika ndani ya nusu saa,bibie Husna akisave misosi
kila mgeni aliondoka karidhika

Mambo ya mduara yalikuwepo ambapo wachina nao hawakuwa nyuma katika kulisakata kachiri
Hizi ni picha za matukio ya maonesho ya tamaduni yaliyofanyika mnamo tarehe 30/11/2008 hapa Wuhan china(Mji wenye wanafunzi wengi wa kitanzania kwa China),na sisi kama watanzania tulishiriki kikamilifu.
kusema kweli ilikuwa baaab kubwa,zifuatazo ni baadhi ya picha na maelezo yake.nimeziweka kwenye number ili ziwe rahisi wewe kuelewa,pia nimeziresize kwa ajili ya kuziweka kwenye web.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Hakuna lolote hapo, ila wanashangaa hoa wamatumbi wanavyokata viuno .. kwenye banda hakuna lolote la kushangaa zaidi ya hizo T-shirt ambazo China huuzwa kwa kilo......

    ReplyDelete
  2. Msirudi bongo na bidhaa feki...

    ReplyDelete
  3. saaaaaaaaaaaaaaaafi sana wa-Tz wa china mejitaidi sana kuwakilisha,,,nyie maannon apo juu mna roho km za kunguni nyamafu stress zinawasumbua

    ReplyDelete
  4. Naomba kuuliza mnaosoma China mnatakiwa kujifunza kichina kwanza kabla hujaanza masomo au wanafundisha masomo yao kidhungu?

    Ninamaproffessor wengi tu nilikua nawajua fresh imported from China walikua mavitu wanayajua kichwani kwao kishenzi lakini english ilikua haipandi kabisa. Nikajua hata elimu yao huko ni kwa kichina china tu..... sasa najiuliza hawa wanafunzi wanajifunza kwa lugha gani darasani?

    ReplyDelete
  5. Huyu jamaa aliyepost commet ya kwanza inaonesha anasumbuliwa na utapiaubongo,
    Kimsingi kila kitu kinaweza kupatikana kokote,mbona hata hizo mbuga huku wametengeneza za kufoji,so sisi tulikuwa tunawasilisha nini tunacho,na ilikuwa ni baab kubwa kweli ila hakuna haja ya kukuconvice wewe ukubali.
    tatizo wabobgo ambao mimi nawaita second hand huwa wanaongea sana na watu kama hawa ndio wanaofanya sisi watu weusi tuonekane useless.
    Kuhusu kusoma,kuna vyuo vinafundisha kwa ngeli na kuna vingine vinafundisha kichina so uamuzi ni juu yako unataka kusoma kivipi,so kwa vle vyuo vya kingereza huwa tayari wamejiandaa na maprof ambao wnajua mambo na lugha inapanda ingawa individual effort ndio kubwa mno.
    Kuhusu bidhaa feki ni kweli china kuna bidhaa feki ila sio kila kitu ni feki,kila nchi ilipitia stage hii so tuwe reasonable muda mwingine na tusiwe tunafuata tuu upepo wa western.Wafanyabiashara na TBS inatakiwa kuwa imara na kuwa na watu wanayoyajua mambo ili tuweze kutoka na kusuia hiyo mifeki

    ReplyDelete
  6. anon wa dec 03,5:01 usipoteze muda wako kumjibu huyo kauzu,fala wa kwanza, nyie tuwakilisheni watanzania wote kwa ujumla and we very proud of you guys.watu kama huyo kauzu wa kwanza ndiyo wana fanya wakenya watucheke kwamba tumezubaa,you all keep a good work.

    ReplyDelete
  7. nimefurahi kuona zanzibar nao wamekumbukwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...