Bendi ya Kilimanjaro Connection iliyoko ziarani nchini Malaysia imeongezewa mkataba na itakuwa hapa kwa miezi mingine mitatu.
Pichani mwanadada Queen Suzy (Wapenzi wa Ngwasuma wanamtambua) akiwajibika jukwaani huku mpiga gitaa la solo Maneno Uvuruge akimpagawisha, pamoja na mzee mzima Farijala Mbutu (mume wa Luiza Mbutu).

Kwa ujumla Kilimanjaro Connection wamekubalika, kwa habari zaidi tembelea www.spotistarehe.wordpress.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hii kweli Spoti na Starehe, sasa wanawezaje kucheza nusu uchi na hiyo nchi ya kislam jameno?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...