Prezidaa wa Bendi ya FM Academia 'Wazee wa Ngwasuma' Nyoshi Al Sadaat akiongea na waandishi wa Habari jana (leo) katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari uliopo jijini Dar kuhusu athari za wanamuziki kuhamahama katika Bendi mbalimbalimali hapa nchini. Kushoto ni Meneja wa Bendi hiyo Mujibu Khamisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. for more info bofya www.fmacademia.com
    Mtandao huu ni maalum kwa wapenzi wa FM ACADEMIA

    ReplyDelete
  2. What a freak

    ReplyDelete
  3. Anony wa kwanza nashukuru. Nilikuwa sijajua kama wazee wa pamba wana tovuti sasa!!

    ReplyDelete
  4. I agree, he looks freaky.

    ReplyDelete
  5. Ndugu msanii punguza kujichubua,maana huwezi jua madhara utakayokutana nayo baadae, sauti yako kwenye muziki inatosha.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...