CHAMA CHA MAPINDUZI
TAWI LA LONDON - UK

SHEREHE YA KUZALIWA KWA
Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Wanachama Wote - C C M
Wakereketwa Wote - C C M

Watanzania Wote
Tarehe: 07/02/2009 Saa: 12 jioni Hadi Saa 5 usiku
WAPI:
115 Hertford Road
Edmonton
London
N9 7EN

Watanzania ambao wangependa kujiandikisha Uanachama wa CCM, mnaombwa kuleta picha zenu za passport size mbili na paundi kumi na tano (paundi tatu kwa kadi, halafu paundi kumi na mbili kwa ada ya uanachama ya mwaka mzima).

Kwa ufafanuzi zaidi, tafadhali wasiliana na:
Tinno Msei - 07949000736
Wencheslous Ikumla- 07825253375
Moses Katega - 07728616029

Wote Mnakaribishwa!
Kutakuwa na Vinywaji, Vitafunio, Live Band, ngoma za asili na mengineyo
Kiingilio – BURE!!!
www.ccmlondonuk.org


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mkuu Misupu, nawapongeza Watanzania wenzetu kwa hatua waliyofikia, japokuwa nina wasiwasi kama Watanzania walio nje ya Nchi wanahitaji kujigawa katika makundi ya kichama ili kuisaidia Nchi.

    Unapoanza kujigawa kichama unapunguza ushawishi ktk kusaidia Watanzania masikini kwa kujivisha taswila ya Uchama. Ni wazi kwamba hawa wenzetu wakihitaji michango ya kusaidia Watanzania lazima itatolewa kichama na beneficiaries watakuwa wenye mlengo wa kichama. Sasa tunakwenda wapi? Tunashindwa kuona na kujifunza mfano mzuri wa wenzetu wa India walivyosaidia nchi yao? Kwanini Watanzania kila tunalofanya linakuwa na usiasa ndani yake? Malengo hasa yanakuwa nini?

    Johnshaaban.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...