Rita Tabaro a.k.a RT.
RT anajinyakulia tiketi ya kushiriki Usiku wa Chakula cha Mwafrika pale katika lodge matata ya Mwanzo Park, usiku wa tarehe 31/1/2009. RT pia anajinyakulia huduma ya bure ya malazi katika chumba chenye hadhi ya daraja la kwanza hapohapo Mwanazo Park.
RT pia anajitwalia heshima kubwa ya kuendeshwa na mwenyekiti wa kijiji toka Dar es Salaam hadi Mkuranga kunako Lodge, chini ya upambe mkubwa wa mama mwenyekiti. RT pia anajinyakulia heshima kubwa ya kupokewa na kupatiwa ziara mardadi na mkurugenzi mtendaji wa Mwanzo Park Lodges, pamoja na kunyuka mifoto na mkuu huyo.
Kijiji pia kinatoa ofa kabambe la kujaza nyuki (vinywaji visivyolevya) kunako meza ya chakula cha RT.

Hongera RT, wanakijiji wameamua, na kwa kura 10 kati ya 23 zilizopigwa kwa majina 11 yaliyopendekezwa, wewe ndio mteule wetu kwa shavu hili la kwanza.
Kila la Heri kwa ziara yako.
-- Othman Michuzi Jr

P.O.Box 33699.CELL: +255 713 775869,

+255 773 721 003

Dar Es Salaam

Tanzania.

michuzijr2.wordpress.com
- fotobaraza.ning.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 29 mpaka sasa

  1. naomba kujua kama hicho chumba atalala peke yake au

    ila mtoto ana.....

    ReplyDelete
  2. haya hongera zake.
    naweza kupata kontact zake kama hutojali.

    ReplyDelete
  3. imekuaje mbona hilo shindano aliloshinda hatukuliona?

    anyway hongera sana

    ReplyDelete
  4. ukirudi huko mimi nitakupeleka kunduchi bwana kuna hoteli matata.nitakufata hadi kwenu.
    usihofu mimi ni mdada ila nitaambatana na kaka angu

    ReplyDelete
  5. sasa tukitaka kumsindikiza ndio tuwasiliane na huyo othman michuzi??wapi contact yake?au hatuwezi kumsindikiza.
    pia mngetuambia hotel iko sehem gani nataka kupiga picha naye.

    ReplyDelete
  6. big up ritha mamaa
    ila be careful

    ReplyDelete
  7. huyu ritha ameolewa??
    mi natafuta mchumba mwenye sifa kama zake.tena anaonekana anakubalika katika jamii yake na ndio maana wamemchagua aende huko.naomba adress zake

    michuzi nitakuandikia email saa10 ya bongo.

    ReplyDelete
  8. tafadhalini tu hii picha ya mdogo wangu msije kuipeleka kwa mwenye utamu.nitakula sahani moja hadi kieleweke.

    ReplyDelete
  9. Michuzi jr mimi naomba unipe nafasi ya kumuendesha, naahidi usafiri wa nguvu na maridadi unaolingana na hadhi yake.

    ReplyDelete
  10. nimekubali dada unafaa kwenda kula maanjumati!!!

    ReplyDelete
  11. Mhh iwe bojo kaisiki karungi amaisho ntongo wa kure kure kwetu
    Hizo ndio namba zako iwe kaisiki RT ngoja nikutwangie nije nikupe kampani mwanzo park lodge.

    ReplyDelete
  12. mai mai mai!! Ritha mbona kujiponza hivyo, yaani wanakutoa picha hii nzuri na unakubali, iwe olayemanya, amaisho gabagunukile ohmumtwe banja kukutola nkenshenene. Ekilio mpa akanamba kawe nkugambire okwolabeiruka

    ReplyDelete
  13. duh kweli bongo tambarare.....

    ReplyDelete
  14. no comment to add
    nakuombea tour njema ya huko,ila umebarikiwa bwana but take care wasije wakakufanyia ufisadi wa mapenzi.ningekua sijaoa ningefanya lolote ila ndio kama nilivyosema nothing to add.

    ReplyDelete
  15. oooh ritha,
    hata siamini ndo ritha wewe ninaekujua aka ...
    ningekuwa mimi nisingekubali ofa ya peke yangu mpaka niwe na patna wangu.

    ReplyDelete
  16. nshomile habahatishi....tupo juu kanda ya ziwa kuanzia mwanza kuzunguka musoma bukoba huko hadi...
    na bado ndio mwaka umeanza huo

    ReplyDelete
  17. yani anno wa kwanza na wengine wenye ROHO YA UZINZI
    aaaaagh acheni izo nyie makuwadi na mafisadi wa mapenzi,,,
    binti mambo gani ayo kujianika humu??huna heshima eeeee
    afu michuzi Jr ndo nini??

    ReplyDelete
  18. nyie mnaoongea kihaya na bojo zenu humu blogu ya jamii ndo nini??
    wee michuzi unajuae kama wamechafua hewa humu?labda ni mizinga ya mitusi ya nguoni
    you are too kupendelea michu umeoa uhayani nini?mana uwa mnashikika aswaa

    ReplyDelete
  19. wabongo nanyi hamna dogo
    sasa huyu kawekwa kwamba ameshinda.
    wengine wameanza ooh kontakti mara kihaya mara wanataka kuoa.fungeni madomo yenu.na wewe mwenye wivu unaesema kajianika kwa hiyo baada ya ushindi wangemficha kibindoni au?nenda kaangalie chanzo ni nini.
    na nyie madomo zege mnaosubiri kutongozea hapa nendeni kwenye link za wanaotafuta wapenzi

    ReplyDelete
  20. hongera mwaya mtoto mzuri.
    mara moja moja si mbaya

    ReplyDelete
  21. kwanza aliewambia huyu ni muhaya nani?watu mnajua kutukia tu yasiyowahusu,wahaya mmeshaanza kujisifia hapa na misifa yenu ya kijinga kupendfa sifa.
    kwa taarifa yenu huyu mmakonde wa mtwara.

    ReplyDelete
  22. hongera sana mrembo.
    natamani ningekuwepo nawe huko shosti angu.ila najua si haba utaniletea.

    ReplyDelete
  23. si bure michuzi kuna uhusiano na huyu binti.
    aliyekutumia habari ni othman michuzi na wewe ni michuzi sasa huyu ni ndugu yenu?shemeji yenu?dada yenu?rafiki yenu?

    ReplyDelete
  24. kama ni kukupongeza tu.tutakupongeza vingi.
    haya hongera ritha

    ReplyDelete
  25. mimi bado nasisitiza naomba masiliano yake nina tenda ya umodo aka full maubunifu ya mavazi na mapicha.

    ReplyDelete
  26. hongera sana ritha.

    mdau from barazani.

    ReplyDelete
  27. big up sana tu.
    yani upo juu,i like that!!!

    ReplyDelete
  28. Hongera sana RT kwa kujinyakulia hiyo nafasi ya pekee.Tunakupa Big Up!Classmate wako A Level a.k.a Kinondoni Camp

    ReplyDelete
  29. jamani mbona hata sio drop dead gorgeous huyu...aftrall she aint cute at all...I aint hating jst giving my two cents on those deceiving her tht oh ure so ths...and tht....hahahaa...
    Hongera...even tho hata huko unakoenda sikujui.
    mdau
    New England,USA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...