MH. SIMBA AMEWEZA KUMSHINDA MPINZANI WAKE WA KARIBU MH. JANET KAHAMA ALIYEPATA KURA 383, WAKATI MH. JOYCE MASUNGA KAAMBULIA KURA 10 KATIKA MCHUANO MKALI WA KUGOMBEA KITI HICHO KWENYE UCHAGUZI MKUU WA UWT ULIOFANYIKA DODOMA.
MH. SIMBA PIA NI WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS ANAYESHUGHULIKIA UTAWALA BORA
HABARI KAMILI
Hongera sana aunty Sofia. Tunakuamini utakuwa mstari wa mbele kuwahamasisha akina mama wa Tanzania mwakani wampigie kura nyingi JK na CCM. Wewe umesoma hakikisha unakuwa tofauti na Anna ABdallah kwa kuiongoza UWT kisomi na kileo. Kidumu CCM
ReplyDeleteCongratulations mama!!! Im so proud of you!!!! Mungu atakulinda na maadui wote...
ReplyDeleteHongera kwa kushinda. Ila wasiwasi wangu ni kuwa utavimudu vyeo vyote sawasawa? Kama utaweza hongera sana. Ukishindwa utaonekana mroho wa madaraka.
ReplyDeleteHivi hawa viongozi wana muda wa saa ngapi kwa siku kuweza kufanyakazi ya u-Waziri na u-Mwenyekiti na "biashara" nyinginezo pembeni?
ReplyDeleteKiongozi mmoja; wadhifa mmoja!
Achieni na wa-Tanzania wengine nao wapate "maisha bora"!
Circulation of the elite iko wapi?
Hongera sana mama Simba kwa nafasi hiyo ya kuwa mwenyekiti,kumbe wewe ndiyo msomi katika wagombea mimi sikujua hilo,jamani tunapogombea nafasi yoyote ni vizuri ukafahamu kwanza sifa zinazohitajika kwa mgombea katika nafasi hiyo.nawapa pole sana mama Janeti Kahama na mama Masunga hawakujua hilo.
ReplyDeletecongratulations Sofia,
ReplyDeletei am only worried tht after such hefty campaigns that saw you even campaigning in the guest houses on a sunday if it will make any difference to UWT or it will just be another of those paper pushing jobs, and words which we are really tired of hearing but can really rouse a huge audience in a frenzy of clapping and shouting,..yeah sasa kampeni zimeisha tuungane hakuna kusemanasema tena...hurrah hurrah.. hii inaonyesha wanawake tunaweza... hear hear hurrah hurrah.. tusibweteke blah blah.. hurrah !!
please !! i hope overtime someone will come and tell us what we dont want to hear, and in this case, i will give a standing ovation lets not be copy paste sort of individuals especially when we hold high chairs such as these.. my thoughts
Ina maana watu wenye ujuzi wameisha au ni kwa nini mtu mmoja awe na kazi mbili? Ataweza kuwakilisha wanawake vizuri na bado kufanya kazi hiyo nyingine??
ReplyDeletemnamwona Hillary anaachia usenate tuige mifano. Two pension funds
Hongera mama Sofi ila vyeo mbona vingi utamudu dia? kwa nini jamani tusiwajaribu watanzania wengine nao pia tukaona utendaji wao pia kuliko kumbebesha huyu mama wa watu nyazifa nyingi namna hiyo? Waziri mbunge. Neki na uwenyekiti jamani vitampalia jamani hee.
ReplyDeleteHongera mama,ulitoa speech nzuri baada ya kutangazwa mshindi.Nina swali jana nilibishana na rafiki yangu mmoja bar hadi glass zikapasuka.Eti huyu 'mmama'ni mke au ana uhusiano wowote na Idd Simba,mwenye jibu atuamulie ugomvi wajameni
ReplyDeleteDavid Villa, huyu mama hana uhusiano wowote na Iddi Simba, ni jina tuu kwani kama last name yako ni Mushi basi wachaga wote ni wanaoitwa Mushi ni ndugu???
ReplyDeleteAsante sana blogger uliyenijibu hapo juu.
ReplyDeleteHongera sana Auntie So....
ReplyDeleteReena
Hongera mama. Well done na tunakutakia all the best katika kazi yako nzuri. Bravo mama Simba,
ReplyDeleteMdau