Mkuu wa Wilaya ya nanihiiiiiiiiiiiiii
Wape wadau raha ya taswira hizi kama walivyoomba kuona forodhani ilivyo kwa sasa na ni wapi watapata urojo bustani hiyo itapofunguliwa.
Mdau znz
Wape wadau raha ya taswira hizi kama walivyoomba kuona forodhani ilivyo kwa sasa na ni wapi watapata urojo bustani hiyo itapofunguliwa.
Mdau znz
hilo jengo mbona limejaa fungus na algae
ReplyDeleteWewe anonymous wa kwanza unashangaa fungus na algae, ndiyo maana ya kuitwa jengo la ajabu
ReplyDeletewewe anony wa 2 kama hujui bora ukae kimya
ReplyDeletenakwambia aibu tupu anon 2!! kinyamazihe tuu.. so disgusting!!
ReplyDeletehahahhahahahaaaa kwi kwi kwi
ReplyDeletenyie wadau mliojibu apo,,,menivunja mbavu uwiiiii
mtu=kivuli???chura amekaa,amesimama,amechuhcumaa???
hahahaaaaaaa
urojoooooooo swaaaaafi sana pale forodhan ndo eneo langu la kutalii
zenji oyeeee