
cha kumaliza kidato cha Sita wa shule ya sekondari ya Jamhuri mjini dodoma katika
sherehe ya maafali ya kumaliza kidato cha sita ya shule hiyo iliyofanyika shulenihapo leo [ kulia ] ni mwalimu mkuu wa shule hiyo Ndugu Juma Kagoda

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
wow hii shule iko dodoma? ni bording au day? mashallaha.
ReplyDeleteYaani mpaka raha jinsi watoto wa kike walivyojihifadhi, mashallah!
ReplyDeleteMdau wa kwanza hii shule ipo Dodoma na ni miongoni mwa shule za zamani sana mjini Dodoma na nimiongini mwa shule za mwanzo kabisa mjini Dodoma. Ipo karibu kabisa na uwanja wa jamhuri dodoma, i guess ndipo ilipopata jina hilo jina lake.
ReplyDeleteThanks for the photo imenikumusha mbali sana.
Mdau wa Dodoma
Jamani nasikia kuna nchi moja huko bara la Asia or middle East kama sikosei eti wamekataza watu wote wenye jinsia ya kike(wanawake,wasichana,mabinti,mabibi) wasipewe ruhusa ya kwenda shule.Yaani shule ni marufuku kwa wanawake..hebu tutafutie ukweli then irushe hewani watu waijadili..makiromaro@yahoo.com
ReplyDelete