
FEST AFRIKA WINTER JAM 2009
SAT 07.02.09 @KLUBI - TAMPERE
TIME: 20-04
PROUDLY PRESENTS
JAH KIMBUTE-REGGAE (Live band-Tanzania)
TABIA MWANJELWA-AFRO RUMBA (Live solo-Tanzania based in Germany)THE NGOMA AFRICA BAND & RAS MAKUNJA (Live band-Tanzania+Congo) Afro beat, ndombolo, Zouk and much more
TOOTHPASTE BAND-WORLD MUSICTHE MPONDA´S - DRUMMING & BODY MOVEMENTS DJ´S
Georgie MTV,
NESTAR,
JAHGUN-Bongo & ALTUNES
Tickets 10€ (advance at Klubi, Swamp Music & Epe´s)


tampere wazushi 2 mzidi kuandaa party hewa, kila cku mnatudanganya mara matonya, mara rayc halafu wa2 2kiwa njiani kuja mnaanza ku22mia sms za kijinga eti wamezuiliwa Amsterdam kwani wao wamekuwa wauza unga.....
ReplyDeleteBro mponda sio kiivyo bwana hiyo mizinguo 2...........
Tabia Mwanjelwa ni msanii maarufu wakike Mtanzania ambae wanatampere wanabidi kujivunua kuanae usiku huo
ReplyDeletekwa wale tunaokumbuka vibao kama "Maisha ni safari ndefu" na Jeni tutaipata raha ile tena siku ya jumamosi
tunawashukuru waandaaji wa usiku huu na tuko tayari kwa onyesho hii
Mdau Helsinki
Mdau wa February 04, 2009 1:45 PM na wewe umezidi. Kila likitoka tangazo kuhusu shughuli Tampere wewe na Mponda tu! Kah, hebu nyamaza kwani umelazimishwa kwenda? Au kutoa maoni? Acha waendelee na shighuli zao kama waliwahi kukudanganya si uwaache tu!! Unachefua
ReplyDelete