Form Six Zanaki wakishangilia na kupongezana kumaliza shule
Dada Mkuu wa Zanaki, Sarah Shillah( kulia ) na Dada Mkuu msaidizi Frida Francis
Dada wa EGM, Zanaki, Irene Stanley, akizawadiwa
Dada wa HGL, Zanaki, Joyce Kasoni, akizawadiwaMwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari ya Zanaki, Bibi Selina Lymo, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Ofisi ya Ukaguzi ya Taifa (NAO), alikuwa mgeni rasmi kwenye Mahafali ya 26 ya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Zanaki Dar leo. Katika picha wanaonekana kulia ni Mjumbe wa Bodi ya Shule hiyo, Bw. Pius Maneno na Kushoto ni Mkuu wa Shule hiyo Mama Rehema Tunzo. Picha na Habari na mdau Paschal Mayalla wa PPR.



Aahh sijaona PCB wala PCM inamana hakuna hizo combinations hapo zanaki?
ReplyDeleteMAHAFALI YA 26? SINA UHAKIKA KWANI ZANALI IMEEANZA 1980? NAKUMBUKA KAMA WAKATI NIPO PRIMARY MIAKA YA 1970s ILIKUWEPO!
ReplyDeletekumaliza???Ngwe ndio kwanza inaanza....kama ni safari bado ipo kubwa tu....hongera zao lkn
ReplyDeleteNdio Maana yake hakuna PCB wala PCM hizo zipo pale Jangwani
ReplyDeleteheeeee headmistress mwingine??mama mramba wapi?
ReplyDeleteduh mabinti wamewiva ile kinoma,karibun duniani bintiz tupo tunawasubiri sie mafataki tu,,,mana siku izi ata seco hamjatulia
hahahaaaaa
mafataki tupo mtusafishe magonjwa
ReplyDeleteduuu zanaki shule yangu nilikuwa hapo o level mwanzoni mwa miaka ya 90 kama utakumbuka kina martha kente,kinahivi mwl shemgilo yupo,basmark
ReplyDelete