Mama Salma Kikwete akifuatilia kwa makini mkutano wa Wake wa Marais uliofanyika kwenye jengo la AU Mjini Addis Ababa Ethiopia
Mama Salma Kikwete Akiwa kwenye picha ya pamoja na Wake wa Rais mbele yaJengo la AU Mjini Addis Ababa
Mama Salma Kikwete pamoja na Mke wa Waziri Mkuu wa Ethiopia Mama Azeb Mestin wakiwa kwenye picha ya pamoja na Wanakwaya wa Chuo Kikuu cha YARED MUSIC SCHOOL Walipotumbuiza wakati wa mkutano wa Wake wa Marais uliofanyika kwenye Jengo la Makao makuu ya AU mjini Addis Ababa, Ethiopia. Picha na mdau Juma Kengele wa Ikulu

WADAU NAOMBA MNIELEWESHE HIVI NINI ROLE YA WAKE ZA MARAISI WA AFRIKA KATIKA MASUALA YA AFRIKA!
ReplyDeleteNamfagilia sana Mama yetu wa Kwanza,yupo vizuri na anawakilisha vizuri wanawake wa TZ in every department.Hongera sana mama na uendelee hivyo hivyo.
ReplyDeleteCha chandu - UK
1st lady umenona, umewaka, unameremeta waaaa.
ReplyDeleteMlienda kula raha tu...no maendeleo kabisa.
ReplyDeletewake za marais africa hawana any job description,ata ceremonial hakuna,yan ni kama tu wasindikizaji wa waume zao ukiwa mwanamke msomi/degreez mke wa rais ujue ndo unaishia kufungua tu NGOs,professional yako waiacha,sijui kwanini hawapangiwi kazi za kiofisi km mabara mengine!!
ReplyDeletendo wanaishia kutalii tuuuu kama apo pamoja na picha za wanakwaya
maana hatujaambiwa aswa ni nini agenda za kikao icho kwa lengo lipi aswa!!
HAWANA KAZI MAALUMU,WAPOWAPO TU
TOTOZ ZA KIABESHI MWAZIONA!
ReplyDeletesasa kilokuvutia nywele au rangi ya ngozi??ugonjwa wako upi apo?
ReplyDelete