Mama Salma Kikwete akimpongeza msanii chipukizi Zinduna Mohamed kutoka kikundi cha St.Camillus youth Centre kilichopo jijini Dar esSalaam baada ya kufanya onyesho fupi linalohusu unyanyasaji wa kijinsia wanaofanyiwa watoto wa kike na kuwanyima fursa ya kujiendeleza kielimu.Onyesho hilo lilifanyika katika Hoteli ya Golden Tulip kwenye Warsha ya vita dhidi ya ukimwi lilioandaliwa na taasisi ya Wanawake na Maendeleo(WAMA) .Warsha hiyo ilifunguliwa na Mkurugenzi Mtendaji wa UNFPA Thoraya Obaid aliyesimama katikati ya Mama Salma na msanii Zinduna
Home
Unlabelled
mama salma na kampeni dhidi ya ukimwi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Jamani mnyonge mnyongeni haki yake mpeni...Ist lady anatoka nyoko haswa...ila diet kidogo tu atakua bomba zaidi
ReplyDeleteMdau Houston
Mama Kikwete mimi binafsi nakufagilia sana.Pamoja na shughuli unakuwa 'bize' na shughuli za kijamii pia(That is the way it should be siyo eti mke wa rais anakuwa bina na NGO na biashara IKULU-No ethics.Keep it up mamaaa,we luv you.
ReplyDelete