mtayarishaji wa kili marthon aggrey marealle wa executive solutions akitoa matangazo huku meza kuu ikisikiliza kwa makini. waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mh. bernard membe (mwenye miwani) naibu waziri wa habari, utamaduni na michezo mh. joel bendera (shoto) na mkuu wa mkoa wa kilimanajaro mh. mohamed babu walikuwepo katika mashindano hayo yaliyoanza na kuishia uwanja wa ushirika, moshi.
picha zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mbona kwenye hizo picha kunaonyeshwa magari yakipita njiani? ina maana hawakuzingatia viwango vya kimataifa hewa safi kipindi cha riadha barabara zote zilitakiwa zifungwe!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...