mdau Pesa Igala akipata snepu ya kumbukumbu nje ya chuo alicholia nondozzz
Mdau Pesa Igala akiandaliwa kupata snepu baada ya kula nondozzz yake ya MBA huko marekani katika chuo kikuu cha western university na chini akiwa na mdau wa Tokyo, Willy ambaye ni bosi wa kampuni ya kuuza magari ya Wilna International, aliyekuwepo kwenye mnuso wa sherehe hizo





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. mbona yupo mwenyewe?

    ReplyDelete
  2. HONGERA MDAU I HOPE NONDO YAKO SIO KAMA ZILE ZA WANASIASA FULANI WALIOTULETEA NONDO FEKI.HIVI SASA WANALIA KUWA WANAONEWA.WAKATI WAO WAMETUONEA.TUNAISHUKURU TUME YA VYUO VIKUU KUWAVALIA NJUGA KAMA KUWAVUA WALE WALIMU WA MZUMBE WALIOKUWA WAKIJIFANYA WANA pHd kumbe ni feki.mbona michuzi anakubali kuwa NOT REACHABLE.KILA SIKU ANASAFIRI ANGEWEZA NAE KUTUIJIA NA DIGRI FEKI ILA ANAJUA KUWA BORA AWE NOT REACHABLE KULIKO KUJIPA SIFA SI ZAKE.
    HONGERA MDAU KAMA MZIGO WAKO NI GENUINE.

    ReplyDelete
  3. Nilipoangalia harakaharaka nilifikiri mh. Pinda

    ReplyDelete
  4. Niliwahi kumsikia mtu akisema kuwa hakuna ubaya mtu kuwa bachela ila ubaya ni kuwa mtoto wa bachela. Siku moja nikamwambia rafiki yangu mmoja kuhusu hili akasema yeye kule Musoma aliwahi kumsikia mtu mmoja mwenye hekima akisema kuwa inapendeza sana mtu kusoma na kuhitimu toka shule au chuo ambacho alisoma mtoto wako...

    ReplyDelete
  5. Hii ni shule aliosoma Mrema?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...