RAIS WA ZANZIBAR MH. AMANI ABEID KARUME AKIKARIBISHWA KWENYE UKUMBI WA MKUTANO
VIONGOZI WA NCHI ZA AFRIKA YA MASHARIKI KATIKA PICHA YA PAMOJA BAADA YA KUMALIZIKA KWA MKUTANO HUO WA UWEKEZAJI KWA SIKU YA LEO, KUTOKA SHOTO NI KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA AFRIKA YA MASHARIKI, MH.BALOZI JUMA MWAPACHU, MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA SERIKALI YA BURUNDI DR. YVES SAHINGUVU, RAIS WA RWANDA MH. PAUL KAGAME, MWENYEKITI WA MKUTANO NA PIA CHAIRMAN OF POLICY&RESOURCES COMMITEE YA JIJI LA LONDON BW. MICHAEL SNYDER, RAIS WA UGANDA MH. YOWERI MUSEVENI, RAIS WA ZANZIBAR NA MWAKILISHI WA SERIKALI YA MUUNGANO, MH. AMANI ABEID KARUME, WAZIRI WA BIASHARA KENYA NA MWAKILISHI WA SERIKALI YA KENYA, NA BARONESS CHALKER-MUWAKILISHI WA SERIKALI YA UINGEREZA, MWANACHAMA WA GLOBAL LEADERSHIP FOUNDATION NA PIA CHAIRMAN OF THE MEDICINES FOR MALARIA VENTURE

VIONGOZI WAKIWA MKUTANONI
RAIS WA ZANZIBAR MH. AMANI ABEID KARUME ALIPOKUWA KUWA AKISALIMIANA NA KUBADILISHANA MAWAZO NA BAADHI YA WAWEKEZAJI. KULIA NI MWANA MAINA-MWENYEKITI WA CCM READING.
WASHIRIKI WAKATI WA MKUTANO
BAADHI YA VIONGOZI, WAGENI WAALIKWA NA WAWEKEZAJI BAADA YA KUMALIZIKA KWA MKUTANO SIKU YA LEO.
UJUMBE WA TANZANIA MKUTANONI. KULIA NI WAZIRI WA MIUNDO MBINU MH. SHUKURU KAWAMBWA NA SHOTO NI NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE BALOZI SEIF
BAADHI YA WASHIRIKI WAKATI WA MAPUMZIKO
WASHIRIKI WA MKUTANO TOKA TANZANIA
WASHIRIKI WA MKUTANO









Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Hivi kwanini mkutano kama huu usifanyike Afrika Mashariki? Gharama zote hizi za nini? au...

    ReplyDelete
  2. We 1 mwenda wazimu nini nani kakuambia mbuzi unajiuzia mwenyewe tena ndani ya gunia.Au ungelipa gharama za kuwapeleka wawekezaji EAC?Baada ya mkutano ma Rais hufuatilia hoja zao na Serikali ya hapa.Hivyo Ndege 2.Ukizaliwa mlalamishi utalaumu hata wazazi wako kukuzaa.

    ReplyDelete
  3. Kupeleka Ujumbe mkubwa ni kuonyesha kutojiamini kwetu, Kumbuka mkutano wa Rio De Jenairo wa mazingira ,1990

    ReplyDelete
  4. Tunaomba speech ya Dr Aman karume aliyotowa katika mkutano hou tuwekeeni kama ipo tafadhalini

    ReplyDelete
  5. MAINA OWINA NAONA UNACHUNGULIA.HAPA UNAHUSIKA VIPI NAWE SI MUWEKEZAJI.WALA SI MJUMBE KWENYE MSAFARA WA TANZANIA.

    ReplyDelete
  6. Mkutano umendaliwa na Jiji la London, siyo serikali za Afrika MaSHARIKI, Hao walialikwa tu.

    ReplyDelete
  7. Hata mie namwona Maina Owino,Niliuliza Ubalozi kuusu mialiko wakasema hata wao ni waalikwa tu nafasi 3 toka City of London,TA akuna aliyealikwa na nasikia siku ya kwanza bila kadi ya mwaliko mbele hupiti security point.Sasa wewe anony waulize City of London kuusu Bw.Owino,maana wengine nyie hata Benki ziwaitie pesa mtasema ni mtego.WATANZANIA WA LEO.********!!!!!
    KASALAGILA DIONIZ.

    ReplyDelete
  8. mbona wanaume wengi kuliko wanawake???
    khaaaaaaaa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...