mdau mrisho salehe senga na mai waifu wake salha suleiman wakitabasamu kwa bashasha baada ya kumeremeta usiku wa kuamkia leo. hapa ni katika sherehe malumu katika ukumbi wa karimjee hall na mnuso ni kesho golden tulip

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 21 mpaka sasa

  1. Truly gorgeous na wenye wivu wajinyonge,congratulations wadau !!
    DC LIVE

    ReplyDelete
  2. Mashallaha wamependeza..inshallah mwenyezi mungu atawajaalia ndoa yenye baraka....ol da best cousin

    ReplyDelete
  3. Bi mkubwa mrembo haswa yaani simply goergous....kapendeza sana na aliyempaka make up please toa contact zako
    mdau DC

    ReplyDelete
  4. Mmh Both cute. Hongereni sana.

    ReplyDelete
  5. mmependezaaaa bi harusi umejaliwa sura

    ReplyDelete
  6. jamani mmependeza sio siri,na hizo tabasamu zenu tu zinavutia.

    ReplyDelete
  7. Bi Salha....

    Mdau NY

    ReplyDelete
  8. Hongera sana mwanangu kwa kutuletea jiko zuri, kweli inaonekana ulikaa chini ukafanya "home work" yako vizuri katika kuchagua mke. si mchezo mmependeza sana. nawatakieni maisha marefu yenye kheri na baraka nyingi.
    Mjomba wako Sunday wa New Zealand

    ReplyDelete
  9. Beautiful couple, wish you a wonderful life together. Almighty God bless your marriage.

    Mdau USA.

    ReplyDelete
  10. Aah! Mwanangu umevuta kitu, hakikisha tu huishiwi hela!

    ReplyDelete
  11. maharusi wamependeza mashallah,mungu awape furuha,afya na maisha marefu,mpate vizazi vyema...amin......by uncle chande/aunt shamim..!

    ReplyDelete
  12. Sasa mbona picha zinaonesha reception tu, vipi mbona hamuoneshi kwingineko?

    ReplyDelete
  13. Jamani. Hawa watu mbona ni kama mtu na dada yake wa kuzaliwa? Mbona wanafanana sana? Kweli kapata wa kufanana nae. Itafika wakati watu wawe wanafanye DNA kabla hawajaoana kujua kama hakuna undugu. mbarikiwe, na heri nyingi katika ndoa yenu. Tunzaneni, na pendaneni katika shida na raha ili kila muonane kama watu katika mwili mmoja.

    ReplyDelete
  14. Mola awajaalie kizazi cha watoto wengi wa kike na wafanane na mama yao, awajaalie vidume vitatu vinne vya kuwalinda dada zao na zaidi ya hapo awajaalie maisha mema yenye furaha na kipato cha kutosha kuiendesha familia hiyo.
    Mwanangu Mrisho, mke kama huyo sio wa kumtuma kuomba chumvi kwa jirani, ni makosa makubwa.
    Nawatakia kila la kheri, twasubiri kwa hamu wajukuu wetu.

    ReplyDelete
  15. SALHA SULEIMAN SENGA HONGERA SANA
    MDOGO WA MAREHEMU KHADIJA SULEIMAN SENA, MAREHEMU SENGA JNR, MDOGO WA FATMA SENGA WA MIKOCHENI MDOGO WA EDDY SENGA , MDOGO WA HUSNA , HOPE MZEE SENGA AMEFURAHI SANA NA MAMA SALHA . WISHING YOUR A HAPPY LIFE. BE GOOD YANG SISY USIMLET DAD AND MOM DOWN WANAKUPENDA SANA . KAARIBU BWAN SHEMEJI . DADAKO MIKOCHENI

    ReplyDelete
  16. MASHALLAH

    ReplyDelete
  17. Jamani siwajui lakini Hongereni. Mmetoka BOMBA SANA SANA. Nawaombea kila la kheri nyuso hizo za furaha zikae nanyi miaka 100 na zaidi. Nyumba yenu itawaliwe na hilo tabasamu siku 365 za mwaka. Duh! Jamani kuna watu wameumbwa na kuumbika Sifa apewe muumbaji

    ReplyDelete
  18. mtoto bwana aibu.
    mdau Msw

    ReplyDelete
  19. Mdau hapo juu, mbona majina ya ubin wa Bwana harusi na bibi harusi yanafanana? Je ni ndugu hawa?

    ReplyDelete
  20. Mwanamke jicho!

    Nauza nyumba yangu.

    ReplyDelete
  21. Mdau hapo juu, imetokea tu coincidence kwamba Bw. na Bi. Harusi wana the same sir name i.e senga, na sio ndugu.

    Mmependeza sana jamani, nilipata bahati ya kusherehekea nao pamoja siku hii na pia kesho yake golden tulip.

    It was one of the best weddings! Harusi hii imeanza kusherehekewa kuanzia Jumatatu 2/3/09 hadi jumapili 8/3/09. Ni kila siku ilikua funika bovu!

    Mwenyezi Mungu awajaalie ndoa yenye amani, mafanikio na upendo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...