Ndugu, marafiki na familia ya Mzee Mambali, wanasikitika kutangaza kifo cha Mzee Elibariki Mambali kilichotokea jana kwenye hospitali ya Amana - Ilala, Dar es Salaam.


Shughuli za Msiba zinaendelea nyumbani kwake Tabata, karibu na Shule ya Msingi Tabata / nyuma ya nyumba Kumi za Azimio la Arusha


Taarifa zaidi wasiliana na:

1.Nickson Mambali +11 255 713 105691

2.Boniface Mambali +11 255 713 449 833

3.Emmanuel Kowero +11 255 754 441 283


Na huko Marekani: Mambali's family

5301 Nw 71st Street

Kansas City,

Mo 64151

(816) 606 1604 / (816) 746 6563

"Bwana ametoa na Bwana Ametwaa Jina la Bwana Libarikiwe"


MUNGU AILAZE ROHO MAHALA PEMA PEPONI

Kamati

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Michuzi, samahani rekebisha namba za simuhizo za Tanzania. Utafanya wasipatikane hao. Ukipiga TZ tokea nje unaanza na +255, huanzi na +11, hivyo tafadhali ondoa hizo 11.

    POLENI WAFIWA.

    ReplyDelete
  2. Jamani number hizi ni za sayari gani?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...