kiongozi wa twanga pepeta hamisi amogorasi akisalimiana na waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa mh. bernand membe, na naibu waziri wa habari, utamaduni na michezo, joel bendera (kulia) na ofisa uhusiano wa tbl maneno mbegu (shoto) mar baada ya kili marathon jana uwanja wa ushirika moshi
lwiza mbuttu akiongoza safu ya ushambuliaji ya twanga pepeta kwenye kiota cha maraha cha aveture jijini moshi usiku wa kuamkia leo katika kuhitimisha kili marathon 2009



hi!hi! Hongereni sana wazawa
ReplyDeletetwanga na kupepeta!!!kazeni mkanda!
libene linahitaji uvumilivu
Hello! Twanga pepeta kamatieni hapo! hapo! yaani hakuna kushindana na wakuja,nyini kazi mnaiweza na trip zenu kubwa!wazawa kamatieni hapo hapo.
ReplyDelete