wananchi wakipata maelezo ya masuala mbalimbali ya mazingira katika banda la Ofisi ya Makamu wa Rais ikiwa ni moja ya shughuli za Wiki ya Maji inayofanyika kitaifa mjini Bukoba leo
Mkurugenzi Msaidizi Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dk Sabaani Mwinjaka akitowa ufafanuzi  wa athari ya ukataji Mitina Uharibifu wa Mazingira kwe  Bw Audax Mwesiga na Bw Thaobald Theonest wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Maji Kitaifa inayafanyika  mjini  Bukoba leo. Picha na Mdau Ali Meja 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Dk Shaaban Mwinjaka ,korogwe hiyo enzi hizo Nyota Sports,B.s Disco.Kazi nzuri -Unamkumbuka DJ Kelly?
    Washokera

    ReplyDelete
  2. Dr Mwinjaka, umenikumbusha mbali, nafurahia mnavyowakilisha idara yenu vizuri. kazi kweli kweli

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...