
mkongwe zahir ally zorro akiwa na ismail wakishusha kibao cha 'nzela' usiku kuamkia leo katika ukumbi wa irish pub ambapo b band hutumbuiza kila ijumaa na jumamosi wanakuwa sweet eazy

kama baba kama mwana: zahir ally akighani akiwa na mwanae banana (kulia) na ismail

b band hukaribisha wanamuziki wa bongo flava katika shoo zao ili kupiga tizi la sauti. safari hii ni Q-J (katikati) akiwapa taff irish pub. banana zorro amesema wanamuziki wa bongo fleva wanabidi wawe wanafanya mazoezi kama haya kila siku ili kuimarisha uwezo wao wa kuimba na stamina.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...