Home
Unlabelled
break point watoa ubani kwa mjane wa hamidu bisanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Maskini Mama yangu Tunu, Mungu akupe uvumilivu na maisha yenye amani na utulivu na naomba Mungu akutangulie sana kwenye wakati huu wa majonzi. Hali kadhalika ndugu zangu Issa na dada yangu Khadija Mungu awape baraka zake na awape uvumilivu kwenye WAKATI HUU wa kuondokewa na Baba yetu Hamidu.
ReplyDeleteMungu awatangulie wote Inshallah kwa kila jambo.
Mdau Issa D
Tunashukuru kwa kutoa ubani wote waliotoa Mungu awajalie zaidi lakini mpelekaji kavaa kaptura haikunifurahisha au kwa sababu ni mwanamichezo?
ReplyDeleteAisee roho yaniuma kupita mfano kuhusiana kifo cha mpendwa wetu Hamidu Bisanga, lakini hakuna jinsi nakuombea upata moyo wa faraja my dia sister tunu na wanangu wote Khadija, Ahmed, Hawa, Issa na Mdogo wenu nadya
ReplyDeleteWafiwa nawapa pole, mungu ndie aliepanga,
ReplyDeletelakini huyo mtoa ubani vipi?
ni mtu mzima ila etiquette hana kabisa, au anadharau.
sijapenda!!!!!!
Wanaume wengine kama huyo mjirekebishe, IT MATTERS A LOT
Mama Pole na ndugu zangu wote, mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu kwani kuondokewa na mzazi ni pigo, lakini kila nafsi itaonja umauti tunachotakiwa kujiweka tayari kwa safari. Poleni ndugu zangu wote,Hawa, Ahmed, Hadija, Issa, Nadya na Ahmed mdogo.
ReplyDeleteM.
Kaka rekebisha anaitwa Radislaus Mwamanga .. Wafiwa poleni sana.
ReplyDeleteMarehemu alikuwa mwanachama wa klabu hiyo ya michezo na hapa wanamichezo wenzake ndio wanatoa ubani, nadhani ndio sababu ya kuvaa kaptura. Poleni sana wafiwa mwenyezi Mungu wape nguvu pia ninawapongeza club brake point kwa kuwafariji wafiwa.
ReplyDeletePoleni sana wafiwa na mungu awape moyo wa subila na uvumilivu katika kipindi iki. lakini huyo ndugu aliyevaa kaptula ndio kachafua kabisa. hata kama ni uana michezo lakini si sahii kwamtu mzima kwenda sehemu kama hiyo uku umevaa kaptula ni aibu. mambo ya kuiga yatatufikisha pabaya.
ReplyDelete