JK akifungua kikao cha Viongozi wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kilichofanyika ikulu jijini  Dar leo
Katibu Tawala mkoa wa Mwanza Bibi Dorothy Mwanyika akila kiapo mbele ya  JK Ikulu jijini Dar leo asubuhi.

JK akimkabidhi nondozzz za kazi katibu Mkuu wa Wiazara ya Sheria na Katiba Bwana Oliver Mhaiki muda mfupi baada ya Kumwapisha ikulu jijini Dar es Salaam,leo asubuhi. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Wizi mtupu

    ReplyDelete
  2. Juma Sebeku, TaboraApril 10, 2009

    Huyu Mhaiki ni mmoja kati ya wachapa kazi hodari tuliobaki nao hapo nyumbani TZ, lakini tatizo ni kuwa amezungukwa na mafisadi watupu tokea alipokuwa mkuu wa chuo cha ualimu pale Moro.
    Alipopandishwa cheo na kuwekwa pale wizarani ndio mambo yakaharibika zaidi baada ya kulazimishwa na kuingizwa katika mtandao wa wezi wa serikalini.
    Labda atajirekebisha kidogo maana kama ni utajiri tayari anao wa kutosha hadi karne ijayo.

    ReplyDelete
  3. kila ck tanaona na kusikia watu wanaapishwa je wanaambiwaga ni nini kazi zao au ndio yaleyale bandika bandua au toa na weka.

    ReplyDelete
  4. Congrats OJ, keep the good spirit up,through hard work anything is possible!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...