kip lefti hii iliyopo jirani ya twin tawazzz za benki kuu inatarajiwa kuzinduliwa jumamosi hii na JK

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Rais anazindua keep left? Give me a break. Hana shughuli nyingine ya kufanya? Kuna masuala mazito ya kitaifa yanayomkabili....kuna haja ya wasaidizi kumweleza vipaumbele.

    ReplyDelete
  2. Na uyo Anony wa kwanza kakulupuka bila kujua mahana ya picture.

    ReplyDelete
  3. Mheshimiwa mchangiaji you missed a point, take a quick look at the photo once again and you will get a grip of what is actually being portray by mkuu wa wilaya. It is uproarious

    ReplyDelete
  4. Hivi wewe anony 6.20pm umeielewa huti keep left? Angalia vizuri barabarani kuna mini-round about yenye bendera. Nafikiri Michuzi anamaanisha hiyo.

    ReplyDelete
  5. Na wewe wa pili 8:01 PM

    ... KUKULUPUKA,HAINA... Bora huyo wa kwanza....

    Na kali kuliko zote ni kuwa woote HAMKUJUA NI ULE MKWARAZZ WA APRIL 1st... japo muda ulishaisha...

    ReplyDelete
  6. KWELI KISWAHILI KIGUMU, WEWE ANON 6:02PM NI MAANA SIYO MAHANA.KAZI KUKOSOA WATU WANAO ANDIKA KIINGEREZA WAKATI LUGHA YENU INAWASHINDA.

    ReplyDelete
  7. ... Puts on devil's Advocate's hat...

    Huyo Anony wa 6:02 amefanya kitu kinaitwa knee-jerk reaction. Hii reaction iko conditioned na mtazamo alioujenga kuhusu mambo kadha. Vile vile huo mtazamo unadhirihisha level kubwa ya exasperation aliyokuwa nayo huyu anony.

    Anony amechoka na mustakhabali na, kisirisiri, hatashangaa kusikia vitu vya ajabu kama wakuu kuenda kufungua keep left vinafanyika hapa Bongo.

    Kwa hiyo tumpe mvunjo kido anony wa 6:02.

    ... Takes off hat...


    Kiukweli anony wa 6:02 anatakiwa achukue likizo ajipumzishe kidogo na ku-refresh mind. Siyo vibaya akaenda Lushoto, Zanzibar au, kama ana pesa, sehemu ya bei mbaya kama Katavi National Park.

    Tanzania haija haribika kiasi cha Rais kuenda kufungua keep left. Labda fly-over ya kwanza ataenda, lakini ya pili hataenda mtu.

    Ni wa-Tanzania wengi lakini wanaishi kwa stress na wamechoka sana. Take it easy brothers and sisters. Enjoy the view. You only live once after all - no reason to waste life being constantly stressed.

    ReplyDelete
  8. Hiyo "keep-left" imekuwapo kwa week zaidi ya mbili, jee wahusika wa kutengeneza hutumia mbinu gani kuangalia barabara zao kwamba ni sawasawa? Jee hu-monitor tu baada ya mvua kwisha? au vipi?

    ReplyDelete
  9. Media ViabilityApril 02, 2009

    Complement to ANON April 02, 2009 7:56 AM

    Nimefurahi sana kwa mchango wako na umeniongezea nguvu za ku control stress zangu.

    Watu wengi hapa TZ wana preduce nyingi sana na hiyo inawafanya kushindwa ku contol situation mbali mbali na kuwa na mtazamo hasi kwa kila kitu.

    ReplyDelete
  10. Kaka Michu!!

    Kazi unayo kuwaelimisha watu humu ndani!!

    ReplyDelete
  11. hii taswira inaonekana kama gari ya rais obama na bendera yake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...