Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Hawa ndio wakina Jon Mashaka, Wajaluo Bwana. Wanaanza kampeni mapema mno.. Hawawezi kutawala dunia nzima

    ReplyDelete
  2. Kuna yeyote anayejua Thomas Cook Safaris in Lawrenceville, GA?????

    If you do then you are going to have some clue On howsmart Tanzanians are...........Figure out and watch out !

    ReplyDelete
  3. Michuzi, Bwana,kwa nini mnampigia Joni mashaka kampeni ya urais ya 2015 mapema hivyo? kwanzaame Hijack Site yako;

    yaani amekuwa maarufu hata kukuliko wewe mwenye site.

    Wabongo Bwana, kama akili ni zake, basi mumuachieni wajameni.Obama naye alianza hivi hivi.

    Mashaka yeye badala ya kutulia kwenye G20, yeye anaanza Yes we can.!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  4. siku watu watampiga vibao aache ku brainwash watu na kumuona yeye ni Yesu. Wizi mtupu.

    ReplyDelete
  5. Obama, John Mashaka, na Dr. Shayo mtulie, dunia siyo yenu tu. Wote mna akili lakini kwa nini mnatunyanyasa bwana? Mtandao umekuwa Joni Mashaka tu !!!!!

    Tehhhhhh Kwa, kwaaaaaaaa woaaaaaaa

    ReplyDelete
  6. Huitaji akili nyingi kujuwa kwamba john mashaka huwa anajisifiaga mwenyewe kwa kubadilisha majina. Lakini kama ni mjaluo hakuna cha kushangaa kwani wana asili ya kuji-boast na kujisifu. Obama ashukuru mungu tangia utoto kalelewa kizungu, hakukutanishwa na tabia za kijaluo. Mapenzi aliopewa obama na wazungu(mama, bibi, babu,binamu, uncles) tangia mtoto ndio sababu kubwa ya wazungu kumuamini kwamba hatawafanyia kitu kibaya.

    ReplyDelete
  7. Stella MwakalingaApril 04, 2009

    Du hapa iko kazi
    mimi nilipomsikia Dr. Shayo akihojiwa na Voice of Amerika kuhusu mkutano huu wa G20, niligundua tayari vijana wamefika mbali.

    Wajameni mlimsikia Dr SHAYOOOOOOOOOOOOO akinguruma huko VOA?
    kama mlisikiliza mahojiano yake mliyaonaje?
    Je
    huo mkutano wa G5 unaoandaliwa huko East Africa wataalikwa? au business as usual?
    Kualikwa kwa hawa vijana wetu kunaweza kuleta mtizamo mpya na mbinu mpya.

    Lakini unajua tena hawa ni watoto wa wakulima sijui!!!!!!!!!!!

    Mungu ibariki Tanzania

    ReplyDelete
  8. amesifiwa mbio anaanza kupitiliza kwao

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...