Meneja wa huduma kwa wateja wa Tigo, Innocent Mayawa (shoto) akkabidhi mfano wa hundi ya dola za kimarekani 10,000 ambazo kampuni hiyo imechangia kufanikisha mbio za kwanza za marathon zitazojulikana kama 'Tigo Ngorongoro Run : The Race against Malaria' ikiwa ni harakati za kupambana na ugonjwa wa malaria.
Anayepokea ni mratibu wa Minnesota
Communications, Mercy Kimaro. Wanaoshuhudia ni Irene Kiwia na Nancy Sumary ambao ni maafisa waandamizi wa wa Front Line Senior kampuni inayoratibu mbio hizo ambazo maandalizi yake yatafanyika Jumamosi hii katika uwanja wa leaders club, dar.
(2nd L) and Nancy Sumari.
Mbio hizo zinafanyika April 18, 2009 kuanzia geti la kuingilia Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro, wilayani Karatu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Mjomba michu, acha kubania habari kuna breaking NEWS Anfield! .....lol

    ReplyDelete
  2. totoz za hapo kati si mchezo!
    we nini??? breaking news za nni? nenda zako huko.

    ReplyDelete
  3. US-Blogger)

    Nabii Mtakatifu Yohanna Mashaka, pengine atakuja kudai kwamba ni yeye ndo kaandika au katayarisha haya Marathoni pamoja nakizungu chake cha shakespere.

    Mimi bado namsubiri huyo nabii wenu Yohanna Mashaka mnayemuabudu aje kwenye Debate huku Alabama. Mimi tayari nimesha book Hotel na Limousine Inanisubiri pamoja na walinzi

    Yeye Mashaka ana nini? Wall-Street Imefirisika na ufisadi wote umekwisha, hela alizokuwa anapata na kumfanya ka Pedejee zimekwisha siku hizi hana hata gari anatembea miguu

    Yohanna Mashaka, tunakusubiri alabama, ukitaka walete ma miss wanaokuabudu na kukufanya ka Mungu mtu. Nilikwambia mimi nina phD toka Oxford Baridi ikakuingia.

    Nadhani huu ndio mwisho wako wa kuandika articls kwa sababu wanaharakati wote siku hizi wanakushinda. Hakuna mtu amewahi kuandika articles kama ile niliyoandika dhidi ya Mashaka.

    Yeye kazi yake ni ku brain wash watu hasa wanawake wanamuabudu kana kwamba yeye ni Mesiah, nimesahau, kwamba Mt. Yohanna Mashaka ameanza kujitangaza kwamba naye ni Mesiah, na wafuasi wake, Dr. Shayo na January Makamba nao wanamuabudu Mashaka.

    Mashaka tunakusubiri Alabama tarehe 10, uitaka njoo na Nancy sumari, nitakupa Private Jet yangu utumie, najua watu wenu wamenyang'anywa Private Jets

    Basi mimi na Peter Nalitolela, Mokes Gama, Yoyo, Field Marshall, Nyani Ngabu, Kelly01, Uwiano Maalum pamoja na wakuu wengine tunakusubiri Alabama.

    Ukitaka nitakulipia nauli pamoja na ma Miss wako, Irene Kiwia pamoja na Nancy Sumari. Lakini ujue wakija huku nitawachukua kwani watanizimia kuniona tu kwani hapa hapa hela ni kama karanga.

    Wakuu ni mimi

    Dr. US-blogger

    ReplyDelete
  4. I see you Inno doing your thing. big up !

    ReplyDelete
  5. mlimbwende anafikiri kama limbwende. huyu US-Blogger ni mbuzi kweli, yaani anatudharau kiasi hiki, Michuzi mbona unamruhusu huyu mtu kuposti?

    Yeye kazi yake ni kutangaza chuki binafsi dhidi ya mashaka, mashaka akimshinda tulize mapozi. Mashaka ni mfano wa kigwa yeye je? Mfano wa majunngu na chuki. sasa hapa mashaka anahusika vipi kama siyo umbuzi?

    ReplyDelete
  6. Kaka Inno,
    Toka Mafundisho kipa imara Changombe to seminary, to USA, sasa naona utu uzima una nyemelea...lol

    Ndugu yako Karugaba yuko wapi? mbona ulichomoka kimya? sisi tupo tunabeba Plastics siku hizi; Boksi hamna USA lol.

    Salimia Tigo, kuna wangu wengi tu hapo....naomba usiguse hahahaha

    Mdau Dc

    ReplyDelete
  7. Asante Inno, naona unawakilisha vizuri sana. Nakubari ushauri wako wa kurudi nyumbani. Hata mwaka haujaisha tayari mambo yanaanza kujipanga. Big ups to you brother, keep it up!!! Waonyeshe nidhamu ya kazi uliyofundishwa na G.W. Bush.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...