Ilipo: Msasani Mwisho
-Vivutio: INA SWIMING POOL
-Bei: YA KIZALENDO
-Sababu ya kuuza: MWENYEWE KAFA
Maulizo: Wazee wa Jiji

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. Mheshimiwa inauzwa au inapangishwa???? unatuchanganya.

    ReplyDelete
  2. Nyumba nyingi za Msasani Mwisho zina Swimming Pool na Fish Ponds (kambale wakubwa) kwa sababu Wanene wenye maguvu wamejenga kwenye njia inayopeleka maji baharini. Wao wameiunua magorofa na kuzinga kwa kuta ndefu hizo 'complex' hapo Msasani mwisho.


    Ile mifereji nayo wameiziba na maji yote yanayotoka Butiama - kwa Mwalim, TMJ, Ubalozi, Maandazi Road yanatuwama hapo. Yote yanafanywa kwa ridhaa ya wakuu serikalini waliotoa viwanja kifisadi kwenye mifereji hiyo kusababisha mafuriko sehemu kadhaa.

    Picha hiyo imebeba ujumbe mzito kwa Waziri anaehusika na utawala bora, kama ana nia ya kupambana na ufisadi wa watu wa jiji maana hata Makaburi nayo yamevamiwa kuchimbwa na kuzungushiwa kuta.

    Cha kushangaza hata Muishiwa meya wa Kinondoni hapo kwenye swimming pool ndio anga zake.

    Kama unapenda muziki wa vyura, pangisha nyumba ya jirani nayo iko tupu.


    ahhhhh

    ReplyDelete
  3. Hizo swimming pool na fish ponds huwa zina kambale. Na mbaya zaidi utawakuta watoto wanavua hao kambale na kujipikilisha wanawala.
    Kaazi kweli kweli.

    ReplyDelete
  4. MMMH, sijui bei gani?

    ReplyDelete
  5. Hii nyumba, jamani kwa taarifa yenu, inauzwa Millioni 400.

    Siku hizi kila mtu anaamka asubuhi anatahmni matatizo yake na kuuza kiwanja kwa bei anayotaka kwa sababu mafisadi yatanunua tu

    ReplyDelete
  6. Mimi napendekeza kwamba nyumba hii na swimming pool yake ingenunuliwa halafu apewe mstahiki Meya wa JIJI la Dar...pengine muziki wa vyura ungemwamsha huko usingizini ili aangalie hali ya mazingara ya JIJI lake...!!??

    ReplyDelete
  7. Mosquito Breeding Ground! No wonder malaria is such a problem! Khaa!

    ReplyDelete
  8. Makosa yote ni WAFADHILI wetu.Wao hawajui kwamba Tanzania ni ka nchi kadogo na masikini sana hata mikojo yetu inatushinda kuishughulikia.Ni tu-miaka kadhaa tokea tujinyakulie UHURU wetu.Hivi hawa wanategemea kazi kama hiyo tunaweza sisi bila ya WAFADHILI??

    ReplyDelete
  9. oh my....kama watu wanaishi hapo wameshindwa kutengeneza mifereji iondoe hiyo maji basi tukifa na malaria tusilaumu Govt

    ReplyDelete
  10. INAPANGISHWA AMA INAUZWA, MBONA UNATUKONFYUZI!

    ReplyDelete
  11. I LOVE THIS JOINT,I WOULD LOVE TO MOVE IN AS SOON AS POSSIBLE

    ReplyDelete
  12. hiyo nyumba ni ya kuuzwa pesa zote hizo. to me it looks like a filthy shack. ebu angalia hayo maji sijui ndio swimming pool yalivyo na rangi mbaya. hayo maji yanaonekana yako poluted. hapo ndio mwanzo wa magonjwa ya vichocho, kuarisha, malaria na kadhalika. $390,000.00 hapa north america utajipatia nyumba nzuri tu. itakuaje nchi maskini kama hii yetu nyumba ziwe ghali hivyo. hao wenye kubali kulipa fedha kama hizo shauri yao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...