
Halo bro Michuzi ,
kama kawaida yetu wadau wa Chuo kikuu cha Tumaini kampasi ya Makumiratupo kwenye maadalizi makubwa ya kwenda Ngorongoro kucheki vivutio vyetu tunakukuribisha twende wote
Mdau Meshack c.Maganga
Tumaini University
Makumira University collegeFaculty
of Humanities and social science
ARUSHA
TANZANIA
watu hawapendi nondoz ndo maana hamna komenti hapa, wanapenda kahawa kama za magazeti ya kila siku.
ReplyDeletewadau wa Makumira ninawatakia maandalizi mema ,Asante mdau MESHACK MAGANGA KWA BIDII ZAKO ZA KUHAMASISHA WANAFUNZI WENZAKO
ReplyDelete