kurasa wa mbele wa albamu mpya ya ashimba
ashimba akiwa kazini
ashimba akipiga bezi kwenye shoo ya jhikoman

MSANII ASHIMBA AMEWASILI DENMARK KWA AJILI YA MAONYESHO KADHAA YENYE LENGO LA KUITANGAZA ALBAMU YAKE MPYA INAYOKWENDA KWA JINA LA “NURU NYIKANI”.
ALBAMU HII IMEREKODIWA CHINI YA USIMAMIZI WA PRODUZA JAKOB POLL NA NI MCHNGANYIKO WA JUMLA YA NYIMBO 14 ZILIZOIMBWA KWA LUGHA MBALIMBALI ZA TANZANIA ZIKIWEMO KINYAMWEZI, KIMASAI, KISUKUMA NA KISWAHILI.
LADHA ILIYOMO KATIKA ALBAMU HII NI MSETO WA VIONJO VYA KITANZANIA NA KIELEKTRONIKI. UNAWEZA KUPATA NYIMBO ZA ASHIMBA AMBAZO TAYARI ZINAUZWA KWENYE MTANDAO KWA KUTEMBELEA
MZStore.woa/wa/viewAlbum?
id=310857774&s=143458

VILE VILE UNAWEZA KUTEMBELEA KATIKA <http://myspace.com/maishamusictz> .
KWA TAARIFA ZAIDI YA ASHIMBA PAMOJA NA MAISHA MUSIC AMBAYO NDIYO KAMPUNI INAYORATIBU KAZI ZA ASHIMBA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 26, 2009

    Nimependa muziki wake ni unique unaweza kusema wa kiasilia hakuna mauzungu sana wala mauzaire kabisa na kawashirikisha madada makini Enika na Naakaya big up brother tukipata watu 5 kama huyu itakuwa bomba!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 26, 2009

    Nimebahatika kununua CD hii kutoka kwa rafiki yangu anaitwa Kwame. Baada ya kusikiliza nyimbo tatu tu, niliipenda na kuinunua.
    Kama unapenda muziki wa asili uliochanganywa na vyombo vya kisasa basi hii ni CD nzuri sana. Mwanamuziki huyu anaimba vizuri na vyombo vimepangwa kwa umakini. Kwa kweli akiendelea kama alivyoanza basi atafika mbali sana basi siku moja tunaweza tukamuona kwenye majukwaa wanayopita wanamuziki wa waliobobea kama Youssou N'dor na Salif Keita.
    Nimeipa cd nyota 4 kati ya 5

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...