Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 28, 2009

    Aaah bwana wewe hiyo ya Tandale, Jwangwani, Tandika ndio uhesabu kuwa hatuna amani acha ujinga hebu….Hiyo ni hali ya kawaida vibaka, wezi kila nchi hawakosekani bwana….Tunachotakiwa kuangalia ni amani ya kivita tumshukuru Mungu hatuna vita ovyo ovyo kama nchi nyingine japo vipo kidogo kidogo vya koo lakini havijakuwa vikubwa....Ukitaka kujua Tanzania wamezoea amani angalia mabomu ya mbagala yalipolipuliwa kila mmoja alitaka kuwa chizi kwa uwoga. Lakini nchi zisizokuwa na amani wanaona milio ile na mabomu yale ni chamtoto...

    Tumshukuru Muumba nchi yetu hivi ilivyo.........MUNGU IBARIKI TANZANIA.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 28, 2009

    We anon wa juu kama unampinga huyu katunisti basi we beba begi kama hilo au usibebe chochote katiza Jangwani mida ya saa 2 utajua anaongea ukweli au la! we mtoto wa mjini je una ushujaa wa kukatiza mitaa hiyo night? ah wapi! thubutuuu! hao daladala wenyewe mida ya night ukiwaambia msaada Jangwani hawasimami wakati unayeshuka ni wewe sio wao! hatuwezi kuwa na amani kamili bila kuwa na amani mifukoni mwetu!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 29, 2009

    Hata akipita Masaki Mikocheni au Mbezi ndio majambazi kabisa huko. Kwanza nani aibe begi lake limejaa Toilet Paper?.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 29, 2009

    Ujumbe mwingine picha nyingine. Sasa hilo begi matiti ya nini? Sijaona sababu ya kuchora hayo matiti kwenye hilo beg........Take it easy dogo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...