kipende chako

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. Malik M.May 28, 2009

    Shed a tear on this..lol

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 28, 2009

    Afrika Mokili Mobimba!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 28, 2009

    Bila ya Nepi ama Pampas wala sijambemba, ya nini kumwagia kojo na karanga zake anazozitengeneza tumboni ha ha ha aaaa

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 28, 2009

    Hivi ndiyo wananchi wanatakiwa wawe wanajitolea kulijenga taifa lao.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 28, 2009

    Du! hii kali ya mwaka,sijawahi kuona wala kusikia.kuishi kwingi kuona mengi.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 28, 2009

    huyu atakuwa mbuzi mtu co kawaida

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 28, 2009

    Sina uhakika anataka ku-prove nini, lakini angeweza kufunga box kwenye kiti cha baiskeli ambalo, ndani yake akawekwa huyo mbuzi na akakaa raha mustarehe.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 28, 2009

    read between the lines, mwenzio anamhamisha mfungwa toka gerezani, mbuzi gani huyu kadandia ka mpiga sarakasi?

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 28, 2009

    Duh.. kweli bongo tambarare.. yaani hii ingekuwa ni ulaya jamaa sasa angekuwa ameshalipa faini hela nyingi mpaka sasa kwa kutesa huyo mnyama na huyo mbuzi kuchukuliwa na kupewa mtu mwingine amtunze..

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 28, 2009

    Jamani watu wa haki za wanyama wako wapi??? Pamoja na kwamba tunacheka, lakini huwezi amini maumivu aliyonayo huyo mbuzi!!!
    Jamani tubadilike

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 28, 2009

    "GOD MUST BE CRAZY".....Part III

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 28, 2009

    Sijaona chakuchekesha hapo!

    Huyo jamaa anakeuka haki za wanyama! na anastahili kushtakiwa.

    HUO NI UNYANYASAJI WAWANYAMA!

    Mdau!

    ReplyDelete
  13. walimwengu walisema kuwwa uyaone,ulimathani magorofa? ndio ukubwa huo

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 29, 2009

    jamaa kabeba demu lake nyie mnashangaa

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 29, 2009

    Eti haki za wanyama, nani kasema. Hujatulia kabisa sasa kwanini tunawachinja na kuwala.

    Jaama ni mbunifu, na hiyo inamletea kula.

    Tuache kufuata mkumbo. tunashindwa kuwashtaki mafisadi tuanze kufuatilia watu wanatsfuta riziki halali.

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 30, 2009

    fataki...liyumba yuko huru
    swaaafi raha mustarehe na vigari vyekundu

    ni hayo tu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...