


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
picha ya pili naona dole....
ReplyDeleteinanikumbusha bali mjomba...
na litakua la second master... hahahaha
Haya makampuni ya simu Nchini Tanzania ni wezi tu. Wanajifanya kutoa misaada wakati wanawaibia wananchi wazi wazi katika uduma za simu. Tanzania ni nchi pekee inayoongoza kwa makampuni binafsi ya simu kuwatoza gharama za juu sana wateja wake. Kwanini uduma zote ni pre-paid. Nchini marekani prepaid service hipo kwa ajili ya wale wasioweza kupewa uduma kwasababu credit history ni mbovu na badala yake wateja hao upewa uduma kwa gharama za juu sana(pre-paid phone)
ReplyDeleteHaya makampuni ya simu yanajua kuwadanganya wananchi wetu kama watoto wadogo na kuwaibia kila kukicha kwa kuwatumia watanzania wenzao walioajiliwa na hayo makampuni.
Napendekeza serikali hiingilie kati swala hili sio tu kuwaacha wageni wakiwaibia wazawa eti kwa vile hawana watu wa kuwatetea.
Kampuni ya simu ikiwa na wateja 2,000,000 na ikamuibia kila mteja mmoja sh.10 za kitanzania, kwa dakika moja inajipatia shillingi za kitanzania 20,000,000.00 kwa dakika moja. Je kampuni hiyo hiyo inajipatia shillingi ngapi kwa siku(24hours) kama dakika moja inaiba shillingi 20,000,000?
Watanazania wenzangu, maesabu haya yanaweza kufanywa na mtu yeyote mwenye elimu kuanzia darasa la kwanza ilimradi ajue kusoma na kuandika.
Makampuni yote ya simu kwenye nchi zote yanatakiwa kuwa chini ya uangalizi mkali wa serikali. Sio tu natoa maoni kuwaaribia biashala wenye makampuni ya simu bali ninaelewa ninachokisema kwasababu nimefanya kazi katika kampuni ya simu (T-Mobile) kwa mda usiopungua miaka saba hapa nchini Marekani na kitengo chetu kilikuwa ni cha uduma ya wateja na kila siku ilikuwa lazima tutoe taharifa katika ofice za IRS na kuonyesha jinsi gani tuna lipa kodi. Form tulizokuwa tunazijaza zinavipengele kibao vingi vyake vikiuliza jinsi uduma tunazozitoa zinavyoendana na malipo tunayowatoza wateja.
Inaniuma sana ninapoona wananchi wenzagu wanaibiwa kwa kiasi kikubwa sana katika nchi yangu
Mdau
usa
Nimekupata mdau hapo juu, mimi nalia na garama za sim hapa bongo, kwakweli voucher ya 2,000/= inatumika kwa dakika chache tu hata kama ukiwasiliana na mtu wa mtandao mmoja.
ReplyDeleteAngalau leo nimepata picha jinsi gani tunavyokamuliwa. Ukija katika suala la sms nalo balaa tupu, garama ni kubwa mno.
Sijui tukimbilie wapi sie walala hoi!
Haya na mkoa wa MARA unapendelewa, Semeni tena.
ReplyDeleteWadau, hadi tuje kuamka nchi hii tumemalizwa, sio simu tu mbona hata madini yetu yanaibiwa tunajengewa barabara za vumbi na madarasa yasio na walimu!!,zahanati zisizo na wataalam. tutaendelea kuibiwa hadi basi.
ReplyDeleteNampenda sana misupu kwa kazi yake nzuri lakini itafikia wakati awaulize wote wanaotuma matangazo au ujumbe kama kweli wanatenda haki. Huu mtandao umekamata dunia nzima ndio maaana watu wengi wanaochangia wana akili zilizoenda shule.
ReplyDeleteMchangiajia uliyepinga swala la makampuni ya simu kuwaibia wananchi kwa kiwango cha juu mno namuunga mkono.
huu ni ushenzi mtupu. Naona huyu mtumumishi wa serikali tena amewai kushika nazi za juu anaona sifa kukabizi compyuta kwa wananchi wakati anaelewa wananchi wanaibiwa. Mh. Rais mfukuze kazi mpumbavu huyu.
Haya yote ni ya kweli. tuanakushukuru sana mdau. Mimi imebidi nitupe simu yangu kwasababu matumizi ya simu yangu yalikuwa yapo juu kuliko hata kodi ya nyumba yangu
ReplyDelete