Home
Unlabelled
nondozzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Bachela of atsi siku hizi ni sawa na darasa la saba la enzi za wakoloni...yaani kembriji andi oksifodi standadi seveni!!! ahhh vivango vya elimu siku hizi ni sawa na taswira ya kujipozi ya kumtambia jirani...
ReplyDeleteKumbe da Chemi ni mama wa nguvu !
ReplyDeleteHongereni for the graduation !
Hongera sana Camara! Still remember the days kunakimbizana chuo kikuu (kileleni and darajani) Wish ya all the best in your future plans!!
ReplyDeleteGuys lets have some respect 4 one another, k! Sasa huyo nyambafff anaona mwenzake kagraduate na kwasababubu yeye ni form one drop out analeta huwiano usio na mbele wala nyuma!
ReplyDeleteHawa ndio wanatoka blog hile kutulete nyoyo za kwanini hapa.Get a life, period.
Daah! Mdau wa 12:44 una gere nini? Bado mdogo huyo mtoto ulitaka apate PH.d? Hiyo ni hatua kubwa nawapongeza Da Chemi na mwanawe. Kazi nzuri.
ReplyDeleteKama bachela ni sawa na kumaliza la saba ina maana kumaliza la saba ni sawa na kumaliza vidudu? Watu wengine bwana! Na nina maana mdau wa kwanza aliyetoa pointless.
ReplyDeleteWewe Anonymous wa kwanza kama huna cha kusema basi funga bakuli..Embu kwanza tueleze elimu yako...inaonekana huna elimu yoyote kutokana na maneno ya kipuuzi unayoongeaa
ReplyDeleteHONGERA SANA CAMARA
Hongera Chemi na mwanao, sikujua una kijana umri huo? There you go girl.
ReplyDeleteHuyo wa maoni ya kwanza kweli ni mpumbavu na wivu umemjaa....kwa kweli hatakua hana degree kwani angeeshimu wenzake waki graduate. Hakuna haja ya kubisha na wajinga; wote tutaonekana wajinga.
HONGERA SANA KIJANa.
J, Toronto
Mi nafikiri kumponda jamaa wa kwanza hapo juu hakuonyeshi kumpongeza kwetu mhitimu.
ReplyDeleteMpumbavu (simaanishi mjinga) akisema pumba werevu hunyamaza, no komenti no kwesheni. Huwezi kumwonyesha mpumbavu upumbavu wake. Kwa maana ukimwita kichaa "kichaa" atapinga na kukupiga akimaanisha si kichaa. Usimpe mpumbavu muda wa kutetea upumbavu wake.
Hongera mhitimu.
Hongera mama na mwana. Kweli ametoka mbali, toka enzi zile za Mlimani praimari! Kila la heri!
ReplyDeleteSpeechless! Kumbe huyu dada ana mtoto mkubwa hivi.....wow!!!!! Duh Hongera...I never know that...kila nikipitia blog yake nazaniaka ni mtu wa umri wangu tu....heshima yako dada yangu
ReplyDeleteHongera Camara na familia yako. Huwezi kunikumbuka kwani ulikuwa mdogo wakati tunakaa jirani Kileleni. Mimi dada yake Amani.
ReplyDelete"I never know that" alah! back to kiswahili plz. Bado watu wanaendeleza libeneke la kuliforce!
ReplyDeleteTehtehteh!
msimponde sana anon wa kwanza anapoint, nadhani wote mnajua std 7 ya kipindi cha mkoloni ilikuwa na heshima gani ktk jamii na uongozi.
ReplyDeletenamrekebisha, khs kusoma arts au science inategemea na uwezo wa mtu and often interest
hongera Chemi, I knew you as a the small beutiful kid down the block nilipokuwa UDSM miaka ya 1978-82, you are still smashing.Mpe kijana wertu hingera!
ReplyDelete