Hayati Mama Ernestina Kahabuka


Familia ya Dr. F.C. Kahabuka wa kijiji cha Buhangaruti, Mugana Parish, Bukoba, Inapenda kutoa shukrani za dhati kwa ndugu jamaa na marafiki wote waliojumuika kwa hali na mali wakati wa msiba na mazishi ya mama Mrs. Ernestina Kahabuka aliyefariki tarehe 15/04/2009 nyumbani kwao na kuzikwa tarehe 18/04/2009.



Misa ya kumuombea marehem Mwl. Ernestina Kahabuka itakuwepo tarehe 30/05/2009 saa moja asubuhi katika Kanisa Katoliki la Moyo Mtakatifu wa Yesu Manzese, Dar Es salaam.



Mumeo- Dr. F.C. Kahabuka, wanao-Anny, Oliva, Mary, Prim, Pelagia wanakukumbuka sana kwa sala. Mwenyezi Mungu akuweke mahali pema peponi.


TULIKUPENDA SANA LAKINI MUNGU ALIKUPENDA ZAIDI.


AMINA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 27, 2009

    We will miss you bibi...Surely Mungu amekupenda zaidi...

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 27, 2009

    My heart goes out to the family...People and the lord's word tell us that there is no greater love than love of God, but if one can love you whole heartedly definetely a mom does. They sacrifice so much for us. For those who have their mom still living..take a moment this week and tell your mom how you appreciate and love them...you never know when this words may be the last.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...