Ali Kiba bado anatesa Marekani akiwa na meneja wake Guru Ramadhani na walifanya naye mahojiano na mtangazaji wa kipindi cha Burudani wa Sauti ya Amerika. Unaweza kusikiliza mahojiano kamili kati ya Ali Kiba na Sunday Shomari kwenye tovuti ya VOA:
Home
Unlabelled
ali kiba ndani ya studio za VOA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tanzania men, looking good!
ReplyDeleteBro,
ReplyDeleteHebu acheni kumtia ujinga Ali Kiba.
Kafanya ziara kibao Ulaya na Amerika. Lakini hamsemi;
1: alialikwa na nani?
2: Aliperform wapi? Ukumbi wa namna gani?
3: Ameuza record ngapi? Amewahikuuza record zaidi ya 50,000 katika mwezi mmoja?
Nitarudi baadaye naenda kazini.
http://www.youtube.com/watch?v=uX-joc_O9X4 ALi Kiba tizameni Kapigwa kibano.
ReplyDeletesorry
ReplyDeletesunday shomari umeoa??yan namanisha una mke wa ndoa?
nna maana yangu
nijibu tu dear
annon #1
ReplyDeletealways do...