Kali ongala akicheza ice hockey sweden. pia hucheza soka
machupa akiwa mzigoni sweden na timu yake
machupa akiwa mzigoni sweden na timu yake
Michuzi wabongo Mohammed Rabab (Machupa) na Kali Ongala wanaendeleza libeneke hapa Sweden kwa kwenda mbele.
Ingia kwenye link hii www.nt.se au www.folkbladet.se search Mohammed rajad hata kwenye google pia picha utaziona jina lake wanalikosea badala ya Mohammed Rajab wanaandika Rajad kwenye Magazeti ya hapa.
Nyingine hiyo ni Kali Ongala Akicheza Ice hockey.
Mdau Stockholm
baaab kubwa , kila heri wazee :))))
ReplyDeletemdau ulietuma hii post bila kutufafanulia anacheza klabu gani na iko daraja la ngapi kwa kutuonyesha tu picha bado haitoshi kwavile kuna maelfu ya wabongo wanaoweza kutuma pia picha kama hizo hapa sweden,hayo yanaitwa makombe ya mbuzi kama kinesi tu
ReplyDeleteMbona huyo Ma-Bottle (Machupa) kwenye Moves zote anaonekana kuzidiwa?
ReplyDeleteNa nadhani hizi ndiyo picha kali kwenye moves za Ma-Bottle mdau ameamua kututumia.
Duu. Bila bila mwanangu, hizo link wameandika kiluga. Kama kichwa cha habari "Unga och gamla sida vid sida" hapo nimeelewa neno moja tu, unga tena napo sijui kama wanamaanisha sembe, kitendo cha kuunga au bwimbwi.
ReplyDeleteHata michuzi Link zake kaandika kiluga unadhani mtu ambaye sio mtanzania ataelewaje kiswahili? si ataona kama wewe unavyoziona hizo link ktk hizo link tafuta unachotaka kuona mbona mimi nimeona pamoja na hizo picha pia? au wenzetu kompyuta ni not richabo? umeambiwa hapo juu search jina Mohammed rajad,iwe hata google utaona wewe unalamika na link, hayo ni magazeti habari zinabadilika kila wakati inakubidi usearch acha kulalamika.
ReplyDeleteUmri mkubwa 37 Asichoke mchezo vijana wa miaka 20 hao sema kwa wa africa tunakuwa sawa mtu ukipata nafasi shusha tu umri hata mie nilivyojiripuwa nilishusha umri sema walishtukia vidole wakanirudisha Bongo nipo tu huku nauza duka. mkipata nafasi pigeni tu mzigo box,glass,bofyeni,uzeni sura, kazi ila msiuze unga tu madawa ya kulevya. Kimaro.
ReplyDeletesina hakika kuhusu Machupa, ila ninavyofahamu mimi, Kali anachezea timu ya GIF Sundsvall inayoshiriki katika ligi ya Superettan. Hii ni level ya pili baada ya ligi kuu; sawa na Championship ya Uingereza au Daraja la Kwanza kwa Tanzania.
ReplyDeleteUkitaka tafsiri ya tovuti hizo hapo juu nenda google.com, nakili kiungo kilichotolewa kisha tafuta. Katika matokeo utakayopata, bofya "Translate this page" utapata tafsiri kwa kiingereza.
Soma hii
Na hii