


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
...simple life,good life...
ReplyDeletesafi saaaaana
HERI YENU MNA BAHARI SIE TUNAANGALIA MLIMA KILIMANJARO MARA UFUNIKWE NA MAWINGU .... LAKINI TUNASHUKURU KWA KILA JAMBO
ReplyDeletebongo kila siku ni sikukuu wala siyo jpili tu.
ReplyDeleteHapo kila mtu anakuja na mbinu ya kutengeneza pesa ila naona jiji wamelala, I guess kama kawaida yao wanangoja wawekezaji!!
ReplyDeleteNa wewe Anonymous wa 10.03 am, kheli yao wakina nani? na wewe uko ndani ya Tanzania na T anzania ni yako, kama umechoka uko kukaa mimani si ushushe nawe mitaa y beach, uko Bongo, weee hujawai sikia bongo wakisema tutabanana hapa hapa, kwa kuwa kila mtanzania ana uhuru wa kuishi anapopataka. Ila usiende bongo alafu ukawe kibaka, watakumaliza,
ReplyDeleteNzuri na inapendenza, simple life.japo wanchi wale wa kawaida nao walau wapata nafasi za kutembelea sehemu kama hizi,nao wafuraia uhuru wa nchi yao
ReplyDeletekamari tu, hakuna michezo ya kupima akili??
ReplyDeleteduh utadhani hili beach la hapa mayemi.
ReplyDeletewabongo niwakubali! kuleni raha
ReplyDeleteBeach la mayemi ndo lipo mkoa gani au mbeya may be Arusha au numba ya mungu kwikwikwi or u mean miami lol beach chafu kinoma city waliweke ktk hali nzuri hey kuna Green flag hapoooooo?
ReplyDeleteMayemi ???? kama kweli upo huko basi hata hujuwi inavyoandikwa...kihiyo mkubwa weee.
ReplyDeleteNa hiyo mamlaka ya jiji inabidi iamke...basi watu wakija na mawazo ya kibiashara hapo beach utaona walafi wooote wanakuja na huyu kodi wingine ushuru na wengi wataweka kauzibe.
Haya nawaambia mapema mimi nakuja na kamradi kangu ka water sports...scuba, banana boats, ngamia na kazalika...anzeni kuumiza vichwa jinsi ya kunizuia.
jamani nyumbani ni nyumbani, nyie mnaojifanya mayemi cjui miami, mnajishauwa sa ingine hata kwenda hamuendi cz co kwenu, misha ya kwa watu mabaya sana..check wazawa 2navyojiachia kivyetu full raha,sasa wewe ukiangalia pembeni rangi tofauti tofati loh mna tabu,rudini hom jamani maisha hata huku yanawezekana..
ReplyDeletemtoto wa mkulima Tz
wewe na wewe anonymous 10:03 am, nauli ya kuja mpaka bongo sh ngapi?cku moja moja unajitoa uje kuona bahari, utakufa haujagusa maji ya chumvi alaf unajifanya kuzaliwa Tz
ReplyDelete...ni kweli wanaitaji michezo mingine ya akili zaidi...
ReplyDeletebongo zichemke...taratibu tutafika tu
pamoja na starehe zote hapo coco beach, kinachoudhi ni uchafu uliovuka mipaka yaani kama hakuna manispaa zenye jukumu la kutunza sehemu hii.ukifika jumapili asubuhi kufanya mazoezi utashangaa kukuta aina ya uchafu uliofanyika jumamosi usiku,yaani condoms zilizotumika zimezagaa ufukwe mzima pamoja na mabomba ya sindano pia zimetumika! ni eneo zuri lakini halina matunzo. hata mh. mkuu wa nchi alishawambia wahusika walitunze pawe kivutio kwa wananchi badala ya mpango wao wa kuwazuiwa watu wasijidai maeneo hayo.
ReplyDelete